MSANII mkongwe kunako anga la muziki mtamu wa Bongo Fleva, Mwasiti Almasi ‘Kipepeo Mweusi’ amemvulia kofia msanii mwenzake, Faustina Charles ‘Nandy’ akisema ni mpambanaji kwelikweli.
Akipiga stori na OVER ZE WEEKEND,Mwasiti…
MWANAMUZIKIaliyekula chumvi nyingi kunako Bongo Flevani, Mwasiti Almasi ‘Mwasiti’, naye amefunguka juu ya wimbi la wasanii kuacha muziki akisema kwa upande wake bado hajawaza wala kufikiria kuachana na masuala ya muziki.
…
MAMBO vipi msomaji wa safu yako pendwa ya My Style? Kama ilivyo kawaida, hapa tunakutana na mastaa mbalimbali nchini na kupiga nao stori mbalimbali kuhusu life style yao mbali na kazi wanazofanya.
Leo tupo na msanii wa muziki wa…
MWANADADA mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni, Mwasiti Almasi ‘Mwasiti’ ameibuka na kumsifia mrembo anayetikisa kwa sasa kunako Muziki wa Bongo Fleva, Faustina Charles ‘Nandy’ kuwa ni msichana mdogo lakini anajielewa hivyo akiendelea kuwa…
Mwasiti na Roma ndani ya mapenzi Moto moto kwenye video yao mpya ya 'Fall In Love'.
Video imeongozwa na Kwetu Studio
Tumekuwekea hapa video mpya zinazofanya vizuri kwa sasa ingia Global…
MWANAMUZIKI Mwasiti Almasi ‘Mwasiti’ aliyewahi kutikisa na ngoma kali ikiwemo Hao na Nalivua Pendo, amepenyeza kuwa kwa sasa mashabiki wamempa stress za kutaka kutoa wimbo kwa hiyo yupo chimbo akijipanga kurejea kwenye gemu kama ilivyokuwa…
Mwasiti Almasi
Suzan Kayogela
STAA Mkongwe wa Bongo Fleva kutoka Jumba la Kuibua Vipaji vya Kuimba (THT), Mwasiti Almasi amefungukia maisha yake kimuziki kwamba hajafulia kwani kazi zake bado zinaendelea kuchezwa hasa mikoani.…
Mwasiti
Makala:Imelda Mtema
UKIZUNGUMZIA kati ya ‘vichwa’ vya kike vilivyotikisa na vinavyoendelea kutikisa ndani ya Jumba la Vipaji (THT) ni wazi utamtaja, Recho ‘Kizunguzungu’ Linah, Alice pamoja na mwanadada Mwasiti.
Mwasiti…
Mfanyabiashara Khamis Luwonga (38) anayetuhumiwa kumuua mke wake na kisha kuchoma mwili wake kwa magunia ya Mkaa, aneiomba mahakama imuachie huru kwa sababu mpaka sasa hakuna ushahidi wa kutosha kumshtaki.
Luoga anayekabiliwa na kesi…
Kiongozi wa chama cha ACT, Zitto Kabwe amezitaja ngoma 10 kali za Bongo Fleva zilizomkosha mwaka huu 2022:-
1. Huyu Hapa — Mbosso
2. Fire — Zuchu
3. Nakupenda — Jay Melody
4. Vimba — Maua Sama
5. Mwambieni —…
Kuna watu wapo kwa ajili ya kukupa moyo kwenye maisha ya kipaji. Wao watakusifia kuwa unaweza. Watakuambia wewe ni mkali sana na kwenye ‘gemu’ lazima utoboe.
Hata hivyo, wengi wao huwa ni ‘chawa’ tu kama inavyofahamika siku hizi.…
MUZIKI ni ajira, lakini pia ni biashara kubwa ndiyo maana nchini Nigeria wanaichukulia serious tofauti na wengi wanavyoiona!
Kila mwaka wanazaliwa wasanii wapya ambao wanakuja kuwa wakubwa na kukimbiza ndani na…
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ambaye yupo nchini Marekani katika ziara yake ya kikazi ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha msanii Maunda Zorro kilichotokea eneo la kigamboni kutokana na ajari ya…
SERIKALI ya Tanzania kupitia Chama cha Haki Miliki (COSOTA) imeanza zoezi la ugawaji wa mirabaha kama alivyoagiza Rais Samia Suluhu Hassan ambaye alitaka kuanzia Desemba, 2021 wasanii wawe wanalipwa kutokana na kazi zao kutumika kwenye…
MUZIKI ni ajira, lakini pia ni biashara kubwa ndiyo maana nchini Nigeria wanaichukulia serious tofauti nawengi wanavyoiona!
Kila mwaka wanazaliwa wasanii wapya ambao wanakuja kuwa wakubwa na kukimbiza ndani na nje ya nchi…
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) katika kuendelea kufanya mageuzi ya kiuongozi na kiutendaji ili kukidhi mahitaji ya wakati, mwenendo wa mabadiliko ya siasa za dunia na madhumuni ya Chama chetu katika kuwatumikia wananchi kikamilifu.
…
MIONGONI mwa wasanii wa muziki wa Kizazi Kipya walioliteka anga la Bongofleva hapa nchini ni Marioo. Haikuwa ajabu kuona Simba Sports Club ikimtumia msanii huyu kwenye tamasha la Simba Day kwani ukiwasha runinga yako au akisikiliza…
KIMEUMANA! Ndivyo unavyoweza kusema kuelekea Dabi ya Kariakoo kati ya timu pendwa Bongo za Simba na Yanga hiyo leo katika mchezo wa Ngao ya Hisani ambapo vita ya mastaa mashabiki wa timu hizo, imeibuka upya.
Mchezo huo…
Takwimu za udumavu kwa watoto chini ya miaka mitano mkoani Kagera zimeendelea kupungua kutoka 41% hadi 39% kwa mwaka 2019 kutokana na wananchi kuendelea kuwa na mtazamo chanya kuhusu malezi ya watoto chini ya miaka…
MUZIKI una nafasi kubwa kwenye maisha yetu ya siku. Muziki umetumika kuleta hamasa kubwa mno ya ufanyaji kazi, kuliwaza baada ya kazi nzito na mengine mengi.
Kwa kukuongezea, muziki unaweza kuwa tiba ya maumivu ya moyo.…
AFISA Habari wa Klabu ya Simba, Haji Manara, leo Agosti 19, 2020, amesema Simba itacheza na timu kutoka Burundi ya Vital'O katika kilele cha wiki ya klabu hiyo ijulikanayo kwa 'Simba Day' siku ya Jumamosi Agosti 22, katika Uwanja wa…
Muziki mzuri siku zote hutengenezwa na vitu vizuri ndani yake kwa kuzingatia umakini, mfano melodi nzuri, mashairi na kikubwa zaidi ni sauti.
Kwenye ramani ya muziki hapa Bongo kumekuwa na wimbi la wasanii wengi na wenye…
AMINI Mwinyi Mkuu ndiyo jina halisi alilopewa na wazazi wake, lakini kwa mashabiki wa Bongo Fleva hapa nchini wanamjua kwa jina moja la Amini.Kijana huyu ni miongoni mwa wasanii wa muziki wa Bongo Fleva waliotokea kwenye nyumba ya vipaji…
UKIZUNGUMZIA wanamuziki wazuri Bongo hii wanaojua kuimba, kutunga, kutumia vyombo na kuzalisha (produce) ngoma kali za Bongo Fleva, huwezi kuacha kumtaja Elias Barnabas, muite Barnaba Boy ‘Classic’. Barnaba ni zao la Tanzania House of…
FAUSTINA Charles Mfi nanga ‘Nandy’ ni binti mdogo, ambaye kwa sasa Kibongobongo anaporomosha ngoma kama zote, anaimba kwa sauti ya kumtoa nyoka pangoni. Kwa wafuatiliaji wa muziki wa Bongo Fleva, kabla ya kuibuka kwa kizazi cha kina…
Msanii Barnabas Elias, maarufu kama Barnana Classic leo amefanya ziara ya utambulisho wa nyimbo yake mpya inayoitwa ' Isweke ' ndani ya studio za + 255 Global Radio zilizopo Sinza Mori, Dar es salaam. Akifanya mahojiano maalumu na kipindi…
MUZIKI ni ajira lakini pia ni biashara kubwa ndiyo maana nchini Nigeria wanaichukulia ‘serious’ tofauti na wengi wanavyoiona! Kila mwaka wanazaliwa wasanii wapya ambao wanakuja kuwa wakubwa na kukimbiza ndani na nje ya nchi ndiyo maana…
BAADA ya kusubiriwa kwa hamu na wajasiriamali na wadau wa urembo, hatimaye ile Siku ya Urembo wa Asili imewadia ambapo leo Jumamosi na kesho Jumapili kwenye Viwanja vya Life Park, Mwenge jijini Dar kutakuwa na bonge la burudani kutoka…
SHEREHE za Siku ya Urembo wa Asili Tanzania mwaka huu zitafanyika wikiendi hii Jumamosi na Jumapili Julai 27, na 28 katika ukumbi wa Life Park Mwenge-Dar es Salaam, na hakuna kiingilio.
Kwa mujibu wa…
KIKUNDI cha Vicoba cha Upendo chenye masikani yake huko Kibugumo-Kigamboni jijini Dar kimejikuta katika sintofahamu kufuatia mweka hazina wake aliyefahamika kwa jina la Mwasiti Bakari kutoweka na kuzua balaa kubwa.
…
BAADA ya kifo cha ghafl a cha Msanii wa Muziki wa HipHop Bongo, Golden Mbunda ‘Godzilla’, kuleta mshituko mkubwa, leo Jumamosi saa 7 mchana anatarajiwa kuzikwa kwenye Makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Enzi za uhai wake,…
DAR ES SALAAM: Licha ya dada wa aliyekuwa mwanamuziki wa Hip Hop Bongo, Golden Jacob Mbunda ‘Godzilla’, Joyce Mbunda kueleza kilichosababisha kifo cha staa huyo, bado kilichochukua uhai wake kimeibua mapya, Ijumaa limedokezwa. …
TANZIA: Tasnia ya Bongo Fleva imepata pigo baada kuondokewa na Rapa maarufu nchini, Golden Jacob Mbunda 'Godzilla' ambaye amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia leo Jumatano, Februari 13, 2019 akiwa nyumbani kwao, maeneo ya Mbezi Salasala,…
MWANAMKE mmoja, Jesca Hayes (41) amejinunulia mwenyewe shela, ushungi na pete ya ndoa, na kwenda madhabahuni kufunga ndoa, lakini aliposimama altareni kufungishwa ndoa na Askofu, hakuwepo bwana harusi pembeni yake.
Alikuwa…
Oparesheni kubwa ya uokoaji inaendelea nchini Japan kuwatafuta wanajeshi watatu wa Marekani baada ya ndege mbili zilizokuwa na wanajeshi saba kugongana na kuanguka baharini. Wanajeshi wawili waliokolewa. Mmoja wao yuko hali nzuri kwa…