Safari za Rais Biden za Australia na Papua New Guinea Zimeahirishwa
Rais wa Marekani Joe Biden, Spika wa Baraza la Wawakilishi Kevin McCarthy, na viongozi wengine wakuu wa bunge walionekana kutofikia makubaliano Jumanne, ya kuongeza kiwango cha deni la taifa.
Hali hiyo imejiri huku wizara ya fedha ya…