ACT Wazalendo Washinda kiti cha Uwakilishi Jimbo la Mtambwe
CHAMA cha ACT Wazalendo kimelinda kiti cha uwakilishi jimboni Mtambwe lakini kimelalamikia mbinu chafu za makada wa Chama Cha Mapinduzi zilizolenga kulazimisha ushindi upande wao.
Kufuatia uchaguzi mdogo uliofanyika Jumamosi hii…