Madee: Afunguka Sababu Kukaa Kimya ‘Sijaacha Muziki’
HAMAD Ally au Madee, Rais wa Manzese Music; ni muda sasa umepita tangu aachie ngoma yake ya Hadithi ambapo hatimaye anafunguka sababu iliyomfanya akae kimya kwa muda wote huo bila kuachia ngoma nyingine huku akiwa hana papara kabisa.…