The House of Favourite Newspapers

Madee: Sina Papara Kabisa

HAMAD Ally au Madee, Rais wa Manzese Music; ni muda sasa umepita tangu aachie ngoma yake ya Hadithi ambapo hatimaye anafunguka sababu iliyomfanya akae kimya kwa muda wote huo bila kuachia ngoma nyingine huku akiwa hana papara kabisa.…

Dogo Janja Ampa Heshima Madee

Rapa  kutoka kiwanda cha Hip Hop Abdul Chande ‘Dogo Janja’, amempa heshima mwanamuziki Hamadi Ali ‘Madee’ kuwa ni mbali na kazi ni kama Baba kwake. Akizungumza na Risasi Vibe, Dogo Janja amesema kuwa, Madee ni mtu ambaye…

MADEE: RAHA ILIYOJE KULEA MTOTO

WAKATI wanaume wengi wakisifika kwa kukwepa kulea watoto wao, kwa mwanamuziki wa kitambo kwenye gemu ya Bongo Fleva, Hamady Ally, ‘Madee’ kwake hiyo wala si ishu, anapenda kinoma ulezi. Usije ukashangaa siku ukimuona akiwa…

Madee Afungukia Ndoa Yake

MEMBA wa Kundi la Tip Top Connection ambaye pia ni Mkurugenzi wa Lebo ya Manzese Music Baby ‘MMB’, Hamad Ally ‘Madee’ amefungukia ndoa yake kuwa hawezi kufunga kwa kufuata mkumbo kisa staa fulani amefunga ila atakachofanya ni kufanya…

Madee: Ilikuwa Niwe Bondia

RAPA anayetamba na Video ya Sema aliyomshirikisha mwimbaji mahiri Nandy, Hamadi Ally ‘Madee’ ameweka wazi kuwa kabla ya kuibukia katika muziki, ndoto zake zilikuwa ni kupigana ngumi yaani ubondia. Akipiga stori na Risasi Vibes,…

MADEE afungukia kuchambwa na Wolper

BAADA ya kumwagiwa mkwara mzito, Rais wa Manzese ambaye pia ni mkali katika Muziki wa Bongo Fleva, Hamadi All ‘Madee’ amefungukia ishu ya kuchambwa na msanii wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper kuwa alikuwa sahihi kumchamba kwa kuwa…

WOLPER AMTOLEA POVU MADEE!

DIVA anayeng’ara kupitia Bongo Muvi, Jacqueline Wolper, amejikuta akimtolea povu staa wa Bongo Fleva, Hamad Ally ‘Madee’ kwa kosa la kutumia katuni ya picha yake bila ridhaa yake kwenye kideo cha ngoma yake ya Sikila aliyomshirikisha…

Madee, Lulu Mahaba Niue!

STAA wa Bongo Fleva anayejiita Rais wa Manzese, Hamad Ally ‘Madee’ na staa mwenzake wa muziki huo, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ wameibua minong’ono baada ya kuonekana wakiwa wamegandana kama ruba huku wakioneshana mahaba niue.…

Ney ‘Asanda’ kwa Madee

Na ALLY KATALABULA| IJUMAA WIKIENDA| OVER ZE WEEKEND RAPA asiyeishiwa vituko kunako Muziki wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ kidizaini kama amelimaliza bifu ‘amesanda’ kwa hasimu wake, Hamad Ally ‘Madee’…

Madee: Sijaishiwa Ubunifu

Na ALLY KATALAMBULA| GAZETI LA AMANI| SHOW BIZ XTRA Rapa asiyechuja kwenye sayari ya muziki wa Bongo fleva ambaye kwa sasa anatamba na ngoma ya ‘Helaa’ Hamadi Ally ‘Madee’ amesema kitendo cha kutoa wimbo wenye maudhui yanayo…

Madee Kupora Simu ni Kiki?

Madee. DAR ES SALAAM: Zikiwa zimepita siku chache tangu msanii wa bongo Fleva na staa wa wimbo ya Pombe, Hamad Ally ‘Madee’ kudaiwa kumpora simu mama mmoja aliyefahamika kwa jina la Mama Makavaka maeneo ya uwanja wa ndege Julius Nyerere…