×

Global TV Online

Mwana FA Aimba na Mashabiki Katika Maadhimisho ya Miaka 30 ya Bongo Fleva

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma, ameshiriki tamasha la kihistoria la maadhimisho ya miaka 30 ya...

READ MORE

ChardTalent: Kutoka Kushushwa Jukwaani Hadi Kuanzisha Muziki wa Kiucheshi Tanzania

Dar es Salaam – Wengi wanamfahamu ChardTalent kupitia nyimbo zake za vichekesho na video zinazovuma mitandaoni, lakini nyuma ya mafanikio...

READ MORE

Historia Yaandikwa! Bongo Fleva Yaadhimisha Miaka 30 kwa Kishindo Mlimani City, Dar – Video

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma, maarufu kama MwanaFA usiku wa kuamkia leo Julai 11, 2026 ameshiriki...

READ MORE

Mnyika Avunja Ukimya: Afunguka Kusimamishwa kwa Viongozi, Fedha za Chadema – Video

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, amesema uamuzi wa kuwasimamisha baadhi ya viongozi wa chama...

READ MORE

Harmonize na Kajala Waonekana Pamoja Baada ya Tetesi za Kuachana

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva na CEO wa Konde Music Worldwide, Harmonize, ameibua hisia usiku wa kuamkia leo Julai...

READ MORE

Madarasa Mapya, Matumaini Mapya: Uwekezaji Ulivyobadili Mazingira ya Kujifunzia Shule ya Msingi Orng’adida

Babati, Manyara – Kwa miaka kadhaa, wanafunzi wa Shule ya Msingi Orng’adida iliyopo katika Kata ya Quash, Wilaya ya Babati...

READ MORE

Iran Yashambulia Vituo vya Kijeshi vya Marekani Bahrain na Kuwait, Bei ya Mafuta Yapanda

Mvutano kati ya Iran na Marekani umeongezeka tena baada ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Iran (IRGC) kudai kushambulia...

READ MORE

Video: Kamanda Muliro Afunguka Sababu ya Polisi Kushirikiana na JWTZ Dar

Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, amesema ushirikiano kati ya Jeshi la Polisi...

READ MORE

Haya Hapa Matokeo ya Kidato cha Sita na Ualimu 2026 Yaliyotangazwa na NECTA leo – Video

 Baraza la Mitihani la Taifa Tanzania (NECTA), leo Jumatatu Julai 6, 2026, limetangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kidato...

READ MORE

Maelfu Wafurika Mitaani Tehran Kuaga Mwili wa Ayatollah Ali Khamenei- (Picha +Video)

Msafara wa mazishi ya aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei,  leo Julai 6, 2026 umepitia mitaa ya mji...

READ MORE

Mashabiki Wamiminika Kuwapokea Mabingwa wa Kombe la Shirikisho Dar – (Picha +Video)

Ni mwendo wa shangwe na furaha katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, ambapo mashabiki na viongozi mbalimbali...

READ MORE

JWTZ Yatoa Onyo Dhidi ya Wito wa Vurugu, Yawahimiza Wananchi Kudumisha Amani – Video

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limewataka wananchi kupuuza wito wowote unaohamasisha vurugu na uvunjifu wa amani, likisisitiza...

READ MORE

Advela na Mama Yake Wamshukuru Shigongo kwa Kuwagharamia Matibabu ya Miguu – Video

Mtoto Advela pamoja na mama yake, Melisiana, wamemtembelea Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, kumshukuru kwa msaada alioutoa uliowezesha mtoto huyo...

READ MORE

Lissu Ataka Kulipwa Fidia Kwa Kudai Kesi Yake Imecheleweshwa Kwa Makusudi – Video

Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ameiomba Mahakama ya Rufani ya Dar es Salaam iamuru Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kumlipa fidia...

READ MORE

Mwili wa Kiongozi Mkuu wa Iran Ulivyowasili Tehran Kabla ya Maziko ya Taifa – Video

Mwili wa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei, ulivyofika katika eneo la Grand Mosalla jijini Tehran siku ya leo Ijumaa...

READ MORE

Video: Mahakama ya Rufaa Kusikiliza Maombi ya DPP Dhidi ya Lissu leo

Mahakama ya Rufaa ya Tanzania leo, Julai 3, 2026, inatarajiwa kusikiliza maombi ya marejeo yaliyowasilishwa na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP)...

READ MORE

Kifo cha Dereva wa John Heche Chachunguzwa na Polisi, Chadema Wafunguka – Video

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu (Bara), Amani Golugwa kimetoa taarifa za kifo cha Suez...

READ MORE

JKT Watoa Pole kwa Pacome Baada ya Kuumia Uwanjani

Uongozi wa JKT Tanzania FC umetoa pole na kuomba radhi kufuatia kuumia kwa mshambuliaji wa Yanga SC, Pacome Zouzoua, katika...

READ MORE

EWURA Yatangaza Kushuka Kwa Bei ya Mafuta

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kupungua kwa bei kikomo za mafuta ya petroli nchini...

READ MORE

TAKUKURU Ruvuma Yafanya Tathmini ya Miradi 290, Kesi 20 za Rushwa Zafunguliwa

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Ruvuma, TAKUKURU, imefanya kikao cha tathmini ya utekelezaji wa majukumu yake...

READ MORE

Mtanzania Asimulia Mateso Anayopitia India “Niliahidiwa Kazi ya Hoteli” – Video

Rhoda Chacha Mwita, Mtanzania aliyesafiri kwenda India mwaka 2017 baada ya kuahidiwa kazi ya hoteli iliyodaiwa kubadili maisha yake, amesema...

READ MORE

Serikali Yakusanya Shilingi Trilioni 1.32 Kutoka Taasisi Zake

Serikali imekusanya jumla ya Sh1.32 trilioni hadi Juni 29, mwaka huu, ikiwa ni gawio na michango mingine kutoka mashirika na...

READ MORE

Watoto 4,200 Waishio Mitaani Kuunganishwa na Familia Zao Nchini

Zaidi ya watoto 4,200 wanaoishi na kufanya kazi mitaani katika mikoa mitano nchini, ikiwemo Pwani na Arusha, wanatarajiwa kuondolewa mitaani...

READ MORE

Meneja wa Zamani wa TRA Kigoma Ahukumiwa Miaka 20 Jela Kwa Kukutwa na Meno ya Tembo

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Kigoma imemhukumu kifungo cha miaka 20 gerezani aliyekuwa Meneja wa TRA Wilaya ya Kibondo...

READ MORE

IGP Wambura Amhamisha ACP Twaha Lulengelule Kuwa RPC Tabora

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camillus Wambura, amemhamisha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Twaha Juma Lulengelule na kumteua...

READ MORE

Miaka 10 ya Utumishi, Askari wa Depo J.1 Wagusa Maisha ya Wazazi na Watoto Songwe

Askari wa Depo ya mwaka 2015/2016, maarufu kama J.1, wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe wameadhimisha miaka 10 ya...

READ MORE

Meridianbet Bonanza Inakupandisha Thamani Kwa Dau Dogo

Sasa una uhakika wa kupata msisimko wa kasino bila ya kutoka nyumbani. Vilevile, hivi sasa unapata mchezo unaokupa pesa huku...

READ MORE

ICEA LION Yamtawaza “Mfalme wa Uwanja wa Gofu” katika Maadhimisho ya Siku ya Bima

Arusha, Tanzania – Juni 27, 2026: Maadhimisho ya Siku ya Bima yamehitimishwa kwa mafanikio kupitia mashindano ya gofu ya ICEA...

READ MORE

Mashujaa Wasiotarajiwa: Afrika Kusini Kukabiliana na Canada

Afrika Kusini walianza Kombe hili wakitazamiwa kuwa chini kabisa katika Kundi A, lakini wamevunja matarajio yote kwa kufuzu kwa mara...

READ MORE

Kutoka Giza la Changamoto Hadi Mwanga wa Matumaini, Safari ya Huduma za Afya Kiru Six – Video

Babati, Manyara – Kwa miaka mingi wananchi wa Kijiji cha Kiru Six, Kata ya Kiru, Wilaya ya Babati mkoani Manyara...

READ MORE

Cheza Michezo ya Expanse, Shinda Kitita cha Kiasi Kubwa

Shindano la Expanse VIP linazidi kutoa matajiri kibao kila siku, Meridianbet wameongeza mzuka kwa wapenzi wa kasino ya mtandaoni ambapo...

READ MORE

Video: Aliyedaiwa Kulima Ekari 2 za Bangi na Mwenzake Wafikishwa Mahakamani

Watu wawili, Madumuka Zilihona (60) na Mawazo Manisha (50), wakazi wa Kijiji cha Busekeseke wilayani Sengerema, Mkoa wa Mwanza, wamefikishwa...

READ MORE

Kwa Taarifa Zaidi Ingia Meridianbet Sport Portal

Meridianbet Sportal Portal?, hili ni jukwaa ambalo Meridianbet hulitumia kwaajili ya kuwahabarisha, kuwaburudisha wapenzi wa michezo na Kasino kutoka sehemu...

READ MORE

Upendo Unaogusa Maisha, Meridianbet Yaendelea Kuigusa Jamii Buguruni

Kuna nyakati ambapo msaada mdogo unaweza kubadilisha kabisa siku ya mtu na hata kurejesha matumaini yaliyokuwa yamepotea. Hilo ndilo lililoshuhudiwa...

READ MORE

Norway dhidi ya Ufaransa Mechi ya Kuamua Mbabe wa Kundi

Norway na Ufaransa zimekwishafuzu kwa hatua ya 32 Bora baada ya kushinda mechi zao mbili za awali. Hata hivyo, mechi...

READ MORE

Waziri Katambi Apiga Marufuku Mikutano ya Vyama vya Siasa, Tishio la Maandamano

Dodoma – Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, ametangaza marufuku ya mikutano yote ya vyama vya siasa...

READ MORE

Iran Yashutumiwa Kushambulia Meli Mlango wa Hormuz Baada ya Kutoa Onyo

Iran yashutumiwa kufanya shambulio dhidi ya meli ya mizigo iliyokuwa ikipeperusha bendera ya Singapore katika Mlango wa Hormuz, saa chache...

READ MORE

Iran Yatishia Kuzilenga Meli Zitakazokiuka Masharti ya Kupita Hormuz

Jeshi la Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limetoa onyo kali kwa meli zote zinazopita katika Mlango wa Hormuz, likisema...

READ MORE

Video: Yumna Mmanga Ahoji Hatma ya Michezo kwa Watu Wenye Ulemavu Bungeni

Yumna Mmanga Omar, Mbunge wa Viti Maalum anayewakilisha makundi ya Watu wenye Ulemavu kutoka Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM),...

READ MORE

Video: Kijana Miaka 21 Akiri Kumuua Baba na Babu Yake, Majirani Wafunguka

Jamii ya Ruguruni, Kata ya Kwembe wilayani Ubungo jijini Dar es Salaam imekumbwa na mshtuko mkubwa baada ya kijana mwenye...

READ MORE