Mapema tu… Ndoa Ya Wolper Shakani Mashabiki Wafunguka “Historia ni Mwalimu”
MUDA mfupi baada ya nyota wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper kufunga ndoa na Rich Mitindo, mtu mmoja aliandika kwenye mtandao wa kijamii:
“Hatimaye Rich Mitindo amekumbatia bomu lake na tutarajie lolote ndani ya muda mfupi!”…
