Simba Yatoa Sare Tena na Namungo
Dakika 90 zimemalizika katika Dimba la Majaliwa, Ruangwa mkoani Lindi kati ya Namungo 'The Southern Killer' na Simba SC huku mchezo huo ukimalizika kwa sare ya bao 2-2.
Simba ndiyo walikuwa wa kwanza kufunga bao la kwanza…