Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki na Katibu Wake Dkt Abbasi Wafika Handeni
Katika kukamilisha Mwaka Disemba 31, 2023, Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki pamoja na Katibu Mkuu, Dkt. Hassan Abbasi na watendaji wengine akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Albert Msando, wamefika Msomera, Handeni ambako…