Aliyewagonga Watu Watatu na Kusababisha Vifo vyao Afikishwa Mahakamani
Afisa Elimu Taaluma wilayani Kwimba mkoani Mwanza, Samwel Kulinga (44) amefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka manne likiwemo la kuendesha gari kwa mwendokasi, kuwagonga na kuwasababishia vifo watu watatu.
Amesomewa mashtaka hayo…