MSANII wa Bongo Fleva, Barnaba Classic ameachia 'Lyrics Video' ya wimbo wake wa 'Nibusu ' ameshirikisha msanii Yammi, msanii wa lebo inayomilikiwa na Nandy .
Mama mkwe wa msanii wa Bongo Fleva Barnaba aitwaye Mamakimbo amegeuka Mbogo kwa mkwewe baada ya picha na video za location alizoshare Barnaba kwenye mitandao yake ya kijamii akiwa na msanii Yammy ambapo amesema…
Wasanii maarufu Bongo, Barnaba, Meja Kunta, Kontawa, Platform, Lony Bway, Lody Music na wengine kibao, wanatarajiwa kukamua shoo ya nguvu kwenye Tamasha la Power Up Your Life.
Tamasha hilo litafanyika kwenye vyuo vikuu mbalimbali nchini…
Kungwi na mwigizaji maarufu Bongo, Shekha Mattaka almaarufu amefunguka kuwa baadhi ya watu wamekuwa wakimtuhumu kwamba amemroga msanii wa Bongo Fleva, Barnabas ili amuoe mwanaye Raya na kueleza kwamba amechoshwa na tuhuma hizo.
Labda unaweza kujiuliza ni kwa nini msanii Harmonize au Konde Boy Mjeshi hakuhudhuria kwenye tukio kubwa lililokusanya viongozi wakubwa wa Serikali, mastaa na watu kedekede kutoka ndani na nje ya Tanzania la uzinduzi wa albam…
TIFFAH DANGOTE; ni mmoja wa watoto wawili wa staa wa muziki barani Afrika, Diamond Platnumz aliyezaa na mwanamama tajiri, Zari The Boss Lady ambaye Jumamosi Agosti 6, 2022 alikuwa akitimiza umri wa miaka 7; mtoto wao mwingine ni Prince…
MSANII wa Bongo Fleva, Barnaba Classic amesema mtu aliyemlea katika Sanaa ya muziki na kumfanya kuwa staa ni aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media, marehemu Ruge Mutahaba.
Barnaba amesema hayo usiku…
UNAPOWAZUNGUMZIA wanamuziki wenye tungo nzuri na wanaojua kutumia vyombo vya muziki Bongo, kamwe huwezi kulitaja jina la kijana ambaye aliibuliwa kipaji chake na aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge…
KWENYE listi ya wanamuziki wazuri wa Bongo Fleva wanaojua kuimba, kutunga, kutumia vyombo na kuzalisha (produce) ngoma kali, huwezi kuacha kutaja jina la Elias Barnabas, muite Barnaba Boy ‘Classic’.
Barnaba ni zao la…
MSANII chipukizi wa Bongo Fleva anayetamba na ngoma yake ya Kidogo, Shedrack Allam ‘Class 2’ amedai kupigwa na msanii wa Bongo Fleva, Barnaba Elias ‘Barnaba Boy’.
Msanii huyo baada ya kufanya wimbo wake huo wa Kidogo…
UKIZUNGUMZIA wanamuziki wazuri Bongo hii wanaojua kuimba, kutunga, kutumia vyombo na kuzalisha (produce) ngoma kali za Bongo Fleva, huwezi kuacha kumtaja Elias Barnabas, muite Barnaba Boy ‘Classic’. Barnaba ni zao la Tanzania House of…
Msanii Barnabas Elias, maarufu kama Barnana Classic leo amefanya ziara ya utambulisho wa nyimbo yake mpya inayoitwa ' Isweke ' ndani ya studio za + 255 Global Radio zilizopo Sinza Mori, Dar es salaam. Akifanya mahojiano maalumu na kipindi…
GLOBAL KAZINI ni Tamthilia inayohusu maisha ya kila siku ya wafanyakazi wa Makampuni ya Global Group wakiwa ofisini, kuanzia asubuhi kwenye vikao vyao vya kazi na namna wanavyotekeleza majukumu yao ndani ya ofisi hizo.
…
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Elias Barnabas maarufu kama Barnaba, amefunguka kuhusu mahusiano ya baba yake mlezi wa kituo cha vipaji vya waimbaji (THT) marehemu Ruge Mutahaba na Nandy kuwa hajui chochote.
Barnabas…
MSANII wa Bongo Fleva, Elias Barnaba maarufu kama Barnaba Boy amesema mpaka sasa tasnia ya muziki nchini haija rasimishwa kuwa ajira rasmi hapa nchini jambo ambalo linasababisha changamoto kubwa miongoni mwa wasanii a tasnia hiyo hasa…
MSANIO wa kuzazi kipya Barnaba amesababisha vilio kutawala baada ya kushindwa kumalizia hotuba yake huku akiomba afunguliwe jeneza kumuona baba yake mlezi, Ruge Mutahaba.
Msanii huyo kutoka THT aliondolewa ukumbini akiwa amebebwa…
Msanii toka Tanzania Barnaba Boy akiwa na Damian Soul wamerudisha shukrani kwa muumba wao kwenye video ya asante.
Asante inapatikana katika Extended Play (EP) ya dini waliyoiachia tarehe January 2018.
…
Baada ya kuileta audio na kufanya vizuri, msanii Barnaba Boy ametokelezea kwenye video mpya ya Washa.
Video imeongozwa na Msafiri toka Kwetu Studio.
Tumekuwekea hapa video mpya…
'Niliyenaye Hana kasoro yanini vipori, uliniacha totoro bila godoro, penzi kibiriti #washa'. Baadhi ya mashairi yanayopatikana kwenye wimbo mpya wa Barnaba Classic unaoitwa Washa.
Wimbo umetengenezwa na Abbah…
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewateua Mwanamitindo Maarufu Bongo, Hamisa Mobeto, Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Barnaba pamoja na Mchekeshaji maarufu, Dullvan, kuwa Mabalozi wa kuhamasisha Matumizi mazuri ya Mitandao ya kijamii ili…
Msanii wa muziki Bongo, Barnaba ameachia video ya wimbo wake uitwao Tuachane Mdogo Mdogo.
Kutazama video hiyo, Ingia Global App na kama huja install, nimekuwekea link hapa chini:
Android ===>GooglePlay
iOS ===>AppStore
Baada ya…
MZAZI mwenziye na mwanamuziki mahiri wa Bongo Fleva, Barnaba Elias ‘Barnaba Boy’ Zubeda Namela amefunguka kuwa kamwe hawezi kurudi kwa mzazi mwenziye huyo waliobahatika kupata mtoto mmoja kwa sababu kila mtu ana maisha yake mengine.…
Kuwa wa kwanza kuangalia video wa wimbo wa wasanii wa Bongo Fleva, Barnaba na Vanessa Mdee
unaoitwa CHAUSIKU ingia Global App na kama huja install, nimekuwekea link hapa chini:
Android ===>GooglePlay
iOS ===>AppStore
Baada…
WAKALI wa burudani, Malkia wa Mipasho Khadija Kopa, Barnabas Elius, Country Boy na wengine walinogesha kwa kiwango cha juu zaidi fainali ya kutafuta vijana wenye vipaji vya kutangaza kutoka mitaani…
STAA wa Bongo Fleva mwenye sauti ya kipekee, Elias Barnaba amesema kuwa kitendo cha kuwatungia mastaa ngoma zao hasa wa kike kimemfanya kutengeneza mkwanja mrefu.
Akichonga na Risasi Vibes, Barnaba ambaye kwa sasa amejitoa THT na…
Barnaba ameachia ngoma yake mpya aliyomshirikisha msanii Aslay ambaye amekuwa tishio kwa wanamuziki kwa kutoa nyimbo nyingi, kali na nzuri zinazotamba mtaa kwa mtaa.
Wimbo huo umechezwa katika mazingira ya kijijini huku mpendezesha…
MKALI wa Bongo Fleva, Elias Barnaba amefunguka kuhusu kufanya kolabo la maana na msanii mwenzake Ben Pol, mwakani 2018. Akizungumza na Full Shangwe, Barnaba alisema kuwa, Mungu akibariki, watafanya kolabo moja ya ukweli mwakani.…
ZIKIWA zimebaki siku sita tu kabla ya kuumaliza mwaka 2017 na kuingia mwaka mpya 2018, staa wa Bongofleva mkali wa kutunga, kuandika na kuimba, Barnaba Classic ametangaza kuwaaga mashabiki wake kwa mwaka huu na atakuwa…
MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva nchini, Barnaba Elias, ‘Barnaba Classic’ ameamua kuajiri bodigadi wa kumlinda kwa ajili ya kujiongezea thamani.
Barnaba akizungumza na Showbiz alisema kuwa, ameamua kuongeza ‘value’ kwenye kazi zake na…
Wanamuziki Barnaba Classic na Lina Sanga ambaye ametoka kujifungua hivi karibuni, walifanya shoo ya pamoja katika Tamasha la Fiesta.
(PICHA: MUSA MATEJA | GLOBAL PUBLISHERS)
HIT maker wa ngoma ya ‘Mapenzi Jeneza’, Barnaba Boy, amemuandikia ujumbe mzito mzazi mwenziye, Zuu Namela, katika siku yake ya kuzaliwa, ambao mashabiki wameufasiri kama Mbongo Fleva, huyo moyo wake umebeba maumivu na anatamani…
MKALI wa Muziki wa Hip Hop, Joh Makini pamoja na mkali wa miondoko ya Zouk Rhumba, Barnaba wanatarajiwa kuongoza wakali 25 ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala - Zakhem jijini Dar.
Akizun-gumza na Risasi…
Prodyuza aliyewahi kumtengenezea ‘hit songs’ kibao mwanamuziki Barnaba Classic, kama vile Lover Boy, Tunafanana na nyingine nyingi, D Classic, amefungukia mkataba wake na mwanamuziki huyo, kuwa haumfungi kuwa na rekodi lebo yake na…
Wahenga walinena wivu ni kidonda, ukishiriki utakonda. Hivi ndivyo unavyoweza kusema ukikutana na kibao kipya kutoka kwa Barnaba Classic katika kibao chake kipya kinachokwenda kwa jina la Mapenzi Jeneza, ambacho ndani yake kumejaa mistari…