Mtoto wa bondia na bingwa wa zamani wa UFC Francis Nganou afariki akiwa na miezi 15
Mtoto wa umri wa miezi 15 wa bondia Francis Ngannou amefariki dunia.
Bingwa huyo wa zamani wa UFC alichapisha kwenye X siku ya Jumatatu usiku: "Ameondoka mapdema, lakini bado ameenda.
"Mtoto wangu, mwenzangu, mwenzangu Kobe…