Pointi 3 za Simba Kimenuka!
Sweetbert Lukonge | Championi Ijumaa | Habari
SAKATA la beki wa Kagera Sugar, Mohamed Fakhi kudaiwa kucheza akiwa na kadi tatu za njano limechukua sura mpya na pointi tatu ambazo wamepewa Simba kutokana na tukio hilo, zimefika kwenye…
Breaking News: Maamuzi ya TFF Kuhusu Rufaa ya Kagera, Pointi 3 za Simba (VIDEO)
Kamati ya Katiba, Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imemaliza kikao chake na Simba inaendelea kubaki na pointi ilizopewa na Kagera Sugar.
Akizungumza na wanahabari jioni hii wakati Global TV Online…
Simba Kupewa Pointi 3 za Al Merrikh Ipo Hivi
BAADA ya uongozi wa Simba kupitia kwa Mtendaji Mkuu, Barbara Gonzalez kuandika barua kwa Shirikisho la Soka Afrika, (Caf) kuomba ufafanuzi juu ya wachezaji wawili wa Al Merrikh waliocheza mchezo dhidi yao wakiwa wamefungiwa imeelezwa…
AVEVA LIVE: Sakata la Pointi 3 za Kagera, Simba Kuishtaki TFF kwa FIFA
LEO May 3, 2017 katika Makao Makuu ya Klabu ya Simba, Kariakoo jijini Dar es Salaam, Rais wa timu hiyo Evans Aveva ameongea na waandishi wa habari kuhusu kamati ya haki na hadhi za wachezaji kuipokonya Simba point 3 ilizokuwa imepewa na…
Rasmi TFF Yatangaza Kuipoka Simba Pointi 3, Yazirudisha Kwa Kagera Sugar
Mambo yamezidi kuwa mambo katika soka la Tanzania hiyo ni baada ya Shirikisho la Soka la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kutangaza kufuta maamuzi ya kuipa Simba pointi tatu katika mchezo wao dhidi ya Kagera Sugar.
Simba ilipoteza…
Yanga SC yaibuka Mbabe mbele ya Simba SC kwa Mkapa
Wananchi wameendeleza ubabe kwenye ‘Derby’ ya pili ya msimu baada ya kuibuka na ushindi mwingine dhidi ya Watani, Simba Sc katika dimba la Benjamin Mkapa.
FT: YANGA SC 2-1 SIMBA
⚽ Aziz Ki (P) 20
⚽ Guede 37…
Simba Wachapwa Mabao 2-1 na Tanzania Prisons Morogoro
SIMBA wakitumia Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro kama wa nyumbani wamechapwa mabao 2-1 na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania.
Mabao yote ya Tanzania Prisons yamefungwa na mshambuliaji Samson Baraka Mbangula…
Moses Phiri; Jiwe walilolikataa waashi, anatupia tu Zambia
Mshambuliaji wa zamani wa Simba, Moses Phiri ambaye anakipiga kwa mkopo, Power Dynamos ya Zambia ameiokoa timu yake wakati ikiambulia pointi moja dhidi ya Zesco United.
Phiri aliisawazishia timu yake baada ya kutanguliwa kwa bao la…
Simba Yapata ushindi wa Bao 4-0 Dhidi ya Tabora United
Magoli kutoka kwa Pa Omary Job, Sadio Kanouté, Che Fondoh Malone na Fred Michael yameiwezesha Klabu ya Simba kupata ushindi huo dhidi ya Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi Mkoani Tabora…
Kocha Mkuu Simba Atangaza Pointi 15 Za Ubingwa
MARA baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mashujaa katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa juzi Jumamosi, Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha ametamba kujipanga kuzoa pointi zote 15 za michezo yao mitano ijayo ili…
Asec Mimosas Yajichimbia kileleni kundi la Simba Yakifikisha alama 10
Asec Mimosas inazidi kujichimbia kileleni mwa msimamo wa kundi B ikifikisha alama 10 baada ya mechi nne.
FT: Asec Mimosas 🇨🇮 3-0 🇧🇼 Jwaneng Galaxy
⚽ Avo 11’
⚽ Aka 80’
⚽ Sankara…
Yanga Yaishtukia Simba… Yasuka Mikakati Mizito Ligi Kuu Bara
ALI Kamwe ambaye ni Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, amewataka mashabiki wa timu hiyo, kuungana kwa pamoja ili kupambania vita iliyokuwepo mbele yao dhidi ya wapinzani Simba.
Kauli hiyo imekuja ikiwa ni siku chache huku timu…
Simba Yafafanua Namna Watakavyotusua Robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika
UONGOZI wa Simba, umeweka wazi kuwa njia, pekee itakayowapeleka katika hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika ni kushinda mechi zote za nyumbani ili kurejesha hali ya kujiamini zaidi.
Ipo wazi kuwa baada ya kucheza mechi tatu…
Simba Watamba kuanza kupata ushindi dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco
BAADA ya kukosa ushindi katika michezo miwili ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba imepanga kuanza kupata ushindi dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco.
Simba imevuna pointi mbili pekee ikicheza michezo miwili ya…
Simba Waishtukia Wydad, Mipango Mipya Yasukwa
UONGOZI wa Simba, umesema kuwa, kikosi chao kitaingia uwanjani kucheza dhidi ya Wydad Casablanca, kwa tahadhari kubwa ili wafanikishe malengo yao ya kufuzu Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Timu hizo zinatarajiwa kuvaana…
Maxi atuma ujumbe Simba kuelekea mchezo wao wa Kariakoo Dabi
MTAMBO wa mabao ndani ya kikosi cha Yanga, Maxi Nzengeli, amesema kuwa wapo tayari kuelekea mchezo wao wa Kariakoo Dabi dhidi ya Simba utakaochezwa Jumapili hii kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar, huku akiwaomba mashabiki wajitokeze kuona…
Simba Yaiandalia Kipigo Yanga Uwanja wa Mkapa jijini Dar
MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Salim Abdallah ‘Try Again’ amesema wataingia kucheza Kariakoo Dabi kimkakati kuhakikisha wanashinda mchezo huo.
Dabi hiyo itakayowakutanisha Simba na Yanga, inatarajiwa kupigwa Jumapili ya…
Kocha wa Yanga Azipigia Hesabu Kali Pointi za Simba
KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi raia wa Argentina, amefichua kwamba, ana kazi kubwa mbele ya kuhakikisha anapata matokeo mazuri katika michezo yake mitatu ijayo ikiwemo dhidi ya Simba kabla ya kugeukia michuano ya Ligi ya Mabingwa…
Phiri Atangaza Balaa Jipya Simba Kuvuka rekodi ya Mabao
BAADA ya kuifungia Simba bao la ushindi katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida Fountain Gate, Jumapili iliyopita, mshambuliaji wa Simba, Mzambia, Moses Phiri, ametamba kuwa msimu huu anataka kuvuka rekodi ya mabao aliyofunga…
Bosi Avujisha Siri Nzito Simba… Watamba Kuuchukua Ubingwa wa Ligi Kuu
AHMED Ally ambaye Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba, amesema ili wajihakikishie nafasi kubwa ya kuuchukua ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, hawataruhusu sare yoyote katika michezo inayofuatia.
Hiyo ni baada ya juzi kupata…
Simba Yatamba Kuendeleza Rekodi Yake leo dhidi ya Singida Fountain Gate
KOCHA Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira, amesema kuwa wanahitaji kuendelea na rekodi zao za kupata matokeo mazuri kwenye mechi za ligi ikiwa ni pamoja na mchezo wa leo Jumapili dhidi ya Singida Fountain Gate.
Leo Simba inatarajiwa…
Simba Yatamba Kuwashangaza Power Dynamos Kutinga Hatua ya Makundi
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa wala hauna haja ya kupiga makelele mengi juu ya timu yao na wanachokifanya ni kuendelea kushinda mechi zao bila makelele na mwisho wa siku watu watashangaa kuhusiana na mafanikio yao ya msimu huu.…
Simba Yasuka Silaha Za Maangamizi Dhidi ya Power Dynamos
UONGOZI wa Simba, umeweka wazi kuwa, muda uliopo kwa sasa ni benchi la ufundi chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira kusuka silaha za maangamizi kwenye mashindano ya kimataifa.
Timu hiyo ina pointi sita kibindoni baada ya kucheza…
Kocha Mkuu wa Simba Ashtukia Jambo Ligi ya Mabingwa Afrika
MARA baada ya kuwa na uhakika wa kuvaana na kikosi cha Power Dynamos katika mchezo wa hatua ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Kocha Mkuu wa Simba Mbrazili, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ ameshtukia jambo na kuweka wazi kuwa utakuwa…
Pacha Ya Luis Miquissone na Clatous Chama Yasukwa Simba
KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira, ndani yake inasukwa pacha ya viungo wa kazi, Luis Miquissone na Clatous Chama kwa ajili ya mechi za kitaifa na kimataifa.
Kwenye mechi mbili za Ligi Kuu Bara msimu huu…
Kocha Mkuu Simba Atumia Siku 16 Kufumua Kikosi Simba
KOCHA Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira 'Robertinho' amefichua kwamba, amepanga kuzitumia siku 16 za mapumziko ya Ligi Kuu Bara kukijenga upya kikosi chake ili kuendana na kasi ya ligi msimu huu.
Robertinho ametoa kauli hiyo, Simba…
Robertinho Aanza Nyodo Simba Atoa Kauli ya Kibabe Ligi Kuu
NI kama ameanza tambo Kocha Mkuu wa Simba, Mbrazili, Roberto Oliveira ‘Robertinho’, baada ya kusema kwa sasa anataka kuona wachezaji wake wakicheza soka zuri, huku akibainisha kwamba tayari ameanza kuona muelekeo wa kikosi chake kufanya…
Simba Yaifunika Yanga Kwenye Idadi ya Hat trick Ligi Kuu Bara 2022/23
MASTAA wa Simba wamewafunika watani zao wa jadi Yanga kwenye idadi ya hat trick ambazo wamefunga ndani ya za Ligi Kuu Bara 2022/23.
Ni mastaa saba walifunga hat trick katika Ligi Kuu Bara, huku ikiwa ni watatu kutoka Simba, wawili…
Kishindo Kinakuja Simba Yashuhudia Yanga Wakisepa na Taji la Ligi Kuu
UONGOZI wa Simba, umeweka wazi kuwa, kishindo kinakuja ndani ya Bongo kutokana na mipango inayoandaliwa kwenye usajili wa timu hiyo.
Simba imegotea nafasi ya pili ikiwa na pointi 73 kwenye ligi, huku ikishuhudia watani zao…
Baada Ya Kurejea Kambini… Mbrazili Simba Atenga Saa 120 Kumaliza Hesabu
BAADA ya kikosi chake kurejea kambini juzi Alhamisi, Kocha Mkuu wa Simba, Mbrazil Roberto Olivieira ameweka wazi kuwa wameandaa programu ya mazoezi ya siku tano sawa na saa 120 kumaliza hesabu zao za msimu huu na kuanza rasmi maandalizi…
Chama Agawa Tuzo Kwa Mastaa Simba Ligi Kuu Bara
CLATOUS Chama, kiungo mshambuliaji ndani ya kikosi cha Simba ameweka wazi kuwa ikiwa atakosa tuzo ya kiungo bora ndani ya Ligi Kuu Bara kisha wakachukua nyota wengine anaocheza nao ndani ya Simba, kwake itakuwa furaha.
Jina la Chama…
Kocha wa Simba Azitolea Macho Dk 120 Kusaka Nafasi ya pili Ligi Kuu
KOCHA Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira 'Robertinho' amefichua kuwa ameamua kuwarejesha mazoezi haraka wachezaji wake kutokana kukabiliwa na dakika 120 za kumaliza msimu ambao hawakuweza kupata chochote licha ya kuonyesha upinzani mkubwa.…
Simba Yawapigia Hesabu Wajeda Kwenye Mchezo wa Ligi Kuu
BAADA ya kupoteza kwenye hatua ya nusu fainali dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Kombe la Shirikisho la Azam Sports, hesabu za Simba ni kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya wajeda, Ruvu Shooting.
Timu hiyo chini ya Kocha…
Simba Yatoa Onyo Kali Kwa Azam Kuelekea Mechi ya Nusu Fainali Nangwanda Mtwara
BAADA ya Simba kung’ang’aniwa sare ya bao 1-1 na Namungo FC, katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, Kocha Msaidizi wa Simba, Juma Mgunda amesema kuwa baada ya sare hiyo nguvu na hamu yao ni kushinda dhidi ya Azam FC.
Jumapili Simba itakuwa…
Simba Baada Ya Kumalizana Na Wydad… Robertinho Ahamishia Nguvu Yanga, Azam
BAADA ya kumalizana dhidi ya Wydad Casablanca ya nchini Morocco usiku wa kuamkia leo Jumamosi, Kocha Mkuu wa Simba, Mbrazil, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ sasa nguvu na akili zake sasa amezihamishia kwa wapinzani wake Yanga na Azam FC.…
Mgunda: Bahati Yao, Yanga Wangekula Za Kutosha Ligi Kuu
KOCHA Msaidizi wa Simba, Juma Mgunda, ametamba gemu plani yao ndio imewapa matokeo mazuri ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Yanga akisema kwamba ushindi huo ni mdogo kwani kama washambuliaji wao wangekuwa makini, basi Yanga wangekufa…
Kocha wa Yanga Atamba “Simba Wametufunga, Lakini Ubingwa Wasahau”
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mtunisia, Nasreddine Nabi, amekubali kufungwa dhidi ya Simba katika Kariakoo Dabi, lakini amesisitiza hawatakubali kuuachia ubingwa wa Ligi Kuu Bara uende Simba.
Kauli hiyo aliitoa mara baada ya Yanga, juzi…