Ahmed Ally: Kipigo cha Tanzania Prisons Kisituvuruge Simba
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally amesema kuwa mashabiki na wanachama wa klabu hiyo wanapaswa kushikama na kuendelea kuisapoti timu yao na wachezaji wao licha ya kupoteza mchezo uliopita.
Ahmed amesema…