VIDEO: Mary Mwanjelwa Atoboa Siri Mbili Sakata la Mchanga wa Madini
DODOMA: Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Mbeya, Mary Mwanjelwa ametoboa siri kuwa chanzo cha kuibiwa kwa madini kupitia kwenye michanga inayosafirishwa na wawekezaji kwenda nje kwanza ni mikataba mibovu ya uendeshwaji wa miradi hiyo na…
Sakata la Mchanga wa Madini… Gwajima: Watanzania Tumerogwa
STORI: BRIGHTON MASALU | IJUMAA WIKIENDA
DAR ES SALAAM: Ulozi! Siku chache tangu liibuke sakata la mchanga wa madini (makanikia), kufuatia ripoti ya kamati maalum iliyoundwa na Rais Dk John Pombe Magufuli kusomwa na kuibua mazito,…
Wakati Lile Sakata la Mchanga Wenye Madini Likiundiwa Tume, Mkemia wa Madini Bongo Atekwa!
Na WAANDISHI WETU| GAZETI LA UWAZI| HABARI
MWANZA: Habari kubwa inayotikisa nchi kwa sasa ni ya Rais Dk. John Pombe Magufuli kuzuia mchanga wenye madini kwenye makontena bandarini Dar kupelekwa nje ya nchi na ameunda tume ya…
Waziri Majaliwa Atinga Mgodini Shinyanga, Sakata la Mchanga Wenye Madini
WAZIRI mkuu Kassim Majaliwa amefanya ziara kwenye mgodi wa dhahabu wa Buzwagi uliopo wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga na kuchukua sampuli za mchanga katika makontena mbalimbali kwa lengo la kwenda kuyapima kwa wataalamu wa…
Sakata la Matrilioni Ya Fedha Mchanga wa Dhahabu Akipona Mtu Akatambike
STORI: MWANDISHI WETU | UWAZI | HABARI
DAR ES SALAAM: Wakati nchi nzima ikiwa bado imelivalia njuga sakata la utoroshwaji wa madini kupitia usafirishaji wa mchanga wa madini, unaofanywa na kampuni za kigeni za uchimbaji madini,…
Sakata la Makontena ya Mchanga wa Madini Bandarini… Rais Magufuli Amefanya Maamuzi Haya Leo…
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa kamati ya wataalam watakaochunguza kiwango cha madini kilichomo kwenye makontena ya Mchanga wa madini aliyoyakamata Bandarini hivi karibuni.
Sakata Ngorongoro Lawagawa Wabunge
MVUTANO mkali umetokea kati ya pande mbili za wabunge wanaounga mkono hatua ya kupunguza watu ndani ya Mamlaka ya Hifadhi Eneo la Ngorongoro (NCAA) na wanaopinga uamuzi huo.
Aidha, wamemshauri Spika, Dk. Tulia Ackson, kuunda kamati…
Kajala Arejesha Mali Za Harmo
UKIMZINGUA anakuzingua kwelikweli! Huyo ndiye Kajala Masanja, staa wa Bongo Muvi ambaye anadaiwa kumrudishia vitu vyote staa wa Bongo Fleva, Rajabu Abdul ‘Harmonize’ ambavyo alimpa wakati wakiwa kwenye uhusiano wa kimapenzi, RISASI…
Mr. Kuku Kufikishwa Kortini, A-Z Sakata Zima Kumbe Liko Hivi!
NI vilio tupu, ndivyo vimetawala miongoni mwa Watanzania waliowekeza katika Kampuni ya Mr Kuku Farmers Ltd ambayo inamiliki mradi wa ufugaji kuku wa kisasa Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Vilio hivyo vimetokana na hatua ambayo…
TRA Yalikana Gari La Mobeto
AMA ulikuwa na taarifa za mitandaoni kuwa gari la mwanamitindo maarufu Hamisa Mobeto limekamatwa na Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) kwa kudaiwa kodi na kutokuwa na vibali halali, taarifa hiyo imekanushwa.
…
Sakata la Gari Jipya, Mobeto, Mama’ke Wajichanganya
LILE sakata lililochukua nafasi kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii hasa Instagram la mwanamitindo maarufu, Hamisa Mobeto kudaiwa kudanganya kuwa amejizawadia gari katika bethidei yake, limeibua sintofahamu kutokana na mama na mwana…
NYUMBA YA URITHI YAZUA BALAA
MSONDO Ngoma Music Band waliona mbali walipotoa wimbo wa Kilio cha Mtu Mzima, ambapo mashairi yake yanasema hivi: “Tunatoana roho Yarabiii, kwa mali alizoacha baaba…” Na kweli nyumba ya urithi imezua balaa jijini Dar es Salaam ambapo…
MSIMAMO WA GLOBAL PUBLISHERS SAKATA LA BUNGE LA ULAYA
TUMECHAGUA KUSIMAMA NA RAIS WETU
Tumesoma barua ya maazimio 15 ya Bunge la Umoja wa Ulaya (European Union) kwa serikali yetu ya Tanzania. Maazimio hayo yanabeba masharti magumu kwa sababu kwenye barua yao wanazungumzia ushoga. Lakini…
PENZI LA DIAMOND… KIM NANA AMNYOOSHA LYNN!
KITENDO cha mahasimu wawili ambao ni wauza nyago (sura) kwenye video za wasanii wa Bongo Fleva, Lilian Kessy ‘Kim Nana’ na Irene Godfrey ‘Lynn’ kukutana uso kwa uso kwenye Tamasha la Wasafi Festival mjini Mtwara, wikiendi iliyopita,…
KUPOTEA KWA MTOTO, BALAA LA MGANGA USIPIME!
DAR ES SALAAM: Majanga! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya sakata la kupotea kwa mtoto Gabriella Kilimba (3) kuchukua sura mpya ambapo mganga mmoja jijini Dar amezua kimbembe huku baba na mama pakichimbika, Risasi Mchanganyiko limeshuhudia.…
SAKATA LA KUTELEKEZA WATOTO, VIGOGO HAWA MATUMBO JOTO!
HII ni aibu ya karne! Mamia ya wanawake waliojitokeza juzi Jumatatu kwenye ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, wakidai kutelekezwa baada ya kuzalishwa na wanaume wao, wameibua mshtuko mkubwa na kuthibitisha kuwa tatizo…
Sakata la Kufungiwa, Ishu ya Diamond Kuhama Nchi Yazua Mjadala
HAPATOSHI! Ndivyo unavyoweza kusema. Siku chache baada ya serikali kufungia nyimbo zake mbili, mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameibuka na kujibu mapigo hali ambayo imesababisha gumzo la aina yake…
Sakata la Picha za Utupu Mastaa hawa Haponi Mtu!
DAR ES SALAAM: Muda mfupi baada ya Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Juliana Daniel Shonza kumfungia msanii wa filamu na muziki wa Bongo Fleva, Suzan Michael ‘Pretty Kind’ kutojihusisha na masuala ya sanaa…
Kimenuka Upya! Soo La Zari, Mobeto Latinga Polisi!
DAR ES SALAAM: Hatimaye lile soo baab’kubwa la bifu kati ya mwanamitindo na video ‘vixen’ matata wa Bongo, Hamisa Hassan Mobeto na mwanamama mjasiriamali wa Afrika Mashariki, Zarinah Hassan Tiale ‘Zari The Boss Lady’, limetinga polisi,…
Sakata la Kuibiwa Mtoto Kutua kwa JPM
DAR ES SALAAM: Lile sakata la mwanamama Asma Juma (29) aliyedai kujifungua watoto wawili mapacha katika Hospitali ya Temeke Machi mwaka huu, limechukua sura mpya baada ya familia yao kusema italifikisha suala hilo kwa Rais…
Kafulila: Naunga Mkono Juu Ya Hatua Zinazochukuliwa na Rais Sakata La Escrow (Picha + Video)
KADA maarufu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), David Kafulila amesema anaunga mkono hatua zote zinazochukuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli juu vita ya ufisadi uliofanyika ikiwemo sakata la…
Sakata la Makinikia: Wananchi wa Tarime Walivyovamia Mgodi wa North Mara
Siku chache baada ya Rais Dk. John Magufuli kukabidhiwa ripoti ya pili ya kuchunguza mchanga wa dhahabu wa Kampuni ya Madini ya Acacia, wananchi wa Tarime wamevamia mgodi wa North Mara kwa siku mbili mfululizo.
Hatua hiyo…
VIDEO: #GlobalBreakingNews: Sakata la Makinikia… Chadema Wafunguka LIVE
DAR: Uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) umeibuka na kuzungumzia sakata la mchanga wa madini (makinikia) ambalo kwa sasa ndilo linachukua headlines kwenye vyombo mbalimbali vya habari.
Akizungunmza na wanahabari…
Serikali Yalifungia Gazeti la Mawio Kwa Miaka Miwili
Dar es Salaam. Serikali kupitia Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe imelifungia gazeti la Mawio kuchapishwa kwa miezi 24 kuanzia jana.
Taarifa iliyotolewa na Msemaji Mkuu wa Serikali ambaye pia ni…
BreakingNews: CCM Yaapa Kuwashughulikia Kikamilifu Makada Waliotajwa Ripoti ya Mchanga wa Madini…
Chama cha Mapinduzi (CCM), kupitia kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole, kimesema kinasubiri majibu ya uchunguzi wa tuhuma zilizoelekezwa kwa makada wakongwe wa chama hicho, kuhusu kuhusika kwao katika kusafirisha mchanga…
Lowassa Ampa Tano JPM Sakata la Makinikia
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Edward Lowassa amempongeza Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwa hatua anazozichukua kuhusu madini ya nchi yetu.
Lowassa aliyayasema hayo jana alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu…
RIPOTI YA MCHANGA II: Alichokisema Rais Magufuli Baada ya Kukabidhiwa, INASIKITISHA!
IKULU, DAR: Ripoti ya pili ya mchanga wa madini, imewasilishwa mbele ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli na mwenyekiti wa kamati hiyo, Prof. Nehemia Eliachim Ossoro ambapo rais ameonesha kuhuzunishwa na kukasirishwa na kilichomo kwenye…
Trilioni 281 Zilizoibwa Ishu ya Mchanga wa Dhahabu, Huyu…Msaliti?
STORI: MWANDISHI WETU | RISASI JUMAMOSI | HABARI
DAR ES SALAAM: Wakati wananchi wakiendelea kushangazwa na kiasi kikubwa cha fedha ambacho nchi inapoteza kupitia usafirishwaji wa mchanga wa madini nje ya nchi, kunakofanywa na kampuni…
Wema Ahofia Usalama Wake
Katika uchunguzi huo, ilibainika kuwa muigizaji huyo haonekani kwenye matukio kama kumbukumbu ya kuzaliwa, send off na hata kwenye kumbi za starehe kama ilivyokuwa, huku baadhi ya watu wake wa karibu wakisema hata simu yake, haipatikani…
BARUA NZITO: Salamu Zangu Kwako Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda
Na ERICK EVARIST| RISASI MCHANGANYIKO|TANGAZO/ BARUA NZITO
BILA shaka u-mzima wa afya, kaka yangu, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Pole kwa shughuli nzito ya ujenzi wa Taifa uliyonayo. Mimi ndugu yako ni mzima wa afya,…
Tukio la Scorpion Lajirudia Dar, Mwingine Atobolewa Macho, Tumbo
Rashid Mohammed akieleza alivyotobolewa macho.
Stori: Issa Mnally, Gazeti la Risasi Jumamosi, Toleo la Desemba 31, 2016
DAR ES SALAAM: Hii ni ajabu na kweli! Wahenga walisema hakuna kumbukumbu isiyokuwa na mwenzake, ni kweli kabisa!…
Mke Akimbia Kuchinjwa Kafara la Utajiri
Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan | Gazeti la Uwazi, Toleo la Desemba 27, 2016
Dar es Salaam: Ni tukio baya la kufungia mwaka 2016! Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Mariam Chacha Maruambura, aliyesema ni mkazi wa Bariadi…
Deni La Bil. 7 Lamziba Mdomo Madam Rita
Mjasiriamali, Ritha Paulsen ‘Madam Rita’.Na Mwandishi Wetu, RISASI mchanganyikoDAR ES SALAAM: Habari zilizozagaa wiki iliyopita kuhusu Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuidai shilingi bilioni 7 Kampuni ya Benchmark Production inayomilikiwa…
TCU yatoa ufafanuzi kuhusu alama za kudahiliwa vyuoni
TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetangaza utaratibu mpya kwa watahiniwa wa mwaka mpya wa masomo wa 2016/2017 wanaochukua shahada, huku wanafunzi wengi wakiwa hatarini kukosa nafasi kwa kukosa sifa na vigezo.
Utaratibu huo mpya…
Spika Ndugai Awaonya Wabunge wa Upinzani Wanaotaka Marais Wastaafu Washitakiwe
Spika wa Bunge, Job Ndugai amewakumbusha wabunge wa upinzani wanaotaka marais wastaafu washtakiwe kuhusu sakata la mchanga wa madini, wakumbuke wanao mawaziri wakuu wastaafu wawili ambao watahusika pia.
Ndugai amesema hayo leo (Jumanne)…
Manara Asitisha Kuongea na Wanahabari
MKUU wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Simba SC Haji Manara, amesema hatoongea lolote kama alivyoahidi juma lililopita. Manara alitoa ahadi ya kuongea kwenye mkutano wa waandishi wa habari, kufuatia sakata lake na Afisa Mtendaji Mkuu…
Mzee Abdul Atoa Tamko Zito Kuhusu Diamond “Damu Yangu”- Video
MZEE Abdul Juma ambaye amekuwa akifahamika kama baba mzazi wa Diamond Platinumz amesema hawezi kumlaumu Diamond, kwani tangu alipotoka Hospitali, jina, kadi ya kliniki, ofisi na kila kitu vimeandikwa majina yake lakini Mama Diamond…
Hawa Nd’o Wanawanake 5 Hatari Zaidi Duniani
MAKALA mpya ya shirika la utangazaji la Uingereza (BBC) inayofahamika kama "Killing Eve'' ambayo inasimulia mateso wanayopitia wahusika kama vile Villanelle anayejulikana kama Jodie Comer na afisa wa kijasusi Eve anayeigiza nafasi ya…