The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

madawa

Dawa za Kulevya Shinyanga

Masunga Nindwa (36) mkazi wa Lunzewe mkoani Geita na Peter Matiko mkazi wa nyakato mkoani Mwanza wanashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Shinyanga kwa tuhuma za kupatikana na dawa za kulevya aina ya bangi kilogramu 20 na mirungi…

Kigogo wa Unga Anaswa na Jeshi

JESHI la Mexico limemkamata kigogo mwenye mtandao mkubwa wa madawa ya kulevya nchini humo, Jose Antonio Yepez, aliyesaidia kuchochea vurugu zilizoipa majaribu makubwa Serikali ya Rais, Andres Manuel Lopez Obrador. Kigogo…

Ulinzi Madawa ya Kulevya Usipime

“OOOH! Haya madawa ya kulevya wanayokamatwa nayo watu, kesi zao zikimalizika ndipo wajanja serikalini wanayauza na kujipatia fedha.” Nani anakuambia uongo wa aina hii? Kuanzia leo ufahamu kuwa, madawa hayo ulinzi wake si wa kitoto.…

MZEE MIAKA 80 ADAKWA KWA UNGA

KAMISHNA Mkuu wa Tume ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya nchini, Rogers Sianga alisema wamedhibiti uingizaji wa dawa za kulevya nchini na hali kwa sasa si kama ilivyokuwa siku za nyuma huku akifichua kuwa mzee wa miaka 80 wamemdaka…