The House of Favourite Newspapers
Browsing Tag

Wasanii

Omondi Awavaa Mapromota Kenya

MSANII maarufu wa vichekesho nchini Kenya, Eric Omondi ameweka masharti magumu kwa mapromota na waandaaji wa matamasha ya muziki nchini humo watakapokuwa wakiandaa matamasha na hafla mbalimbali kuanzia mwaka huu 2022. Omondi amesema…

Mirabaha ya Wasanii Gizani

SERIKALI ilisema itaanza kulipa mirahaba ya kazi za wasanii kuanzia Desemba mwaka huu kupitia makusanyo yatakayopatikana kwenye vyombo vya habari vitakavyotumia kazi zao lakini hadi sasa siku tatu zimesalia mwaka ukatike na mambo ni…

Harmo, Kajala Mambo ni Moto!

TABIA ya kupe ni kuganda kwenye ngozi pale anapofyonza damu; unauliza mfano una maana gani kwenye stori hii, subiri upakuliwe ubuyu. Iko hivi; yale madai yaliyovuma miaka miwili iliyopita kuwa msanii wa Bongo Fleva, Rajabu Abdul…

Muziki Sio Uhuni, ni Fursa,

MUZIKI ni ala zilizounganishwa ili kutengeneza kitu ambacho kinaitwa burudani. Muziki wa Tanzania kwa upande wa Bongo Fleva na Hip Hop, ulianza miaka ya 1990 baada ya kuibuliwa na waasisi mbalimbali waliokuza muziki huo akiwamo Mike…

MONDI, TANASHA WAWEKA REKODI MPYA

 STAA wa Bongo Fleva kutoka Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mzazi mwenzake, Tanasha Donna, wameandika historia mpya Bongo. Ukisoma maoni ya kolabo ya wimbo wao mpya wa Gere kwenye Mtandao wa…

TEMBO WA HARMO AZUA BALAA

VITA ya panzi majani ndiyo yanayoumia! Unaweza kutumia msemo huu kutokana na staa wa muziki wa Bongo Fleva, Rajabu Abdul ‘Harmonize’ kuonekana akiwa amechora tattoo ya tembo mgongoni na kuzua balaa kwa kile wengi walichodai kuwa…

Mjengo wamuumbua Mke wa Rayvanny

AMEUMBUKA! Ndivyo unavyoweza kusema kutokana na mjengo ambao mke wa msanii wa Bongo Fleva, Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’, Fahima Msenga ‘Fahyvanny’ kujinadi kuwa wamejenga kwa kudunduliza na mumewe, kubainika kuwa walipanga. Miezi…

Snura Akana kumwagana na Minu

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Snura Mushi ‘Snura’ amekanusha kuwa hajaachana na mpenzi wake Minu Calypto kama ambavyo watu wengi walikuwa wakiamini hilo.  Akizungumza na Risasi Vibes, Snura amesema kuwa anawashangaa watu kwa kujadili…

Kidoa afungukia ujauzito

BAADA ya kudaiwa ni mjamzito kwa sasa, mwanadada Asha Salum ‘Kidoa’ ambaye alijipatia umaarufu kupitia uvideo queen na sasa amegeukia kwenye filamu, ameibuka na kufungukia ishu hiyo.  Sema kuna watu wengi wanajua yeye ni mjamzito,…

Ray C ajitoa ufahamu ughaibuni

WAKATI Bongo watu wakimisi picha za utupu za mastaa kutokana na sheria ya makosa ya mtandao kung’ata wengi, Rehema Chalamila ‘Ray C’ amejilipua huko majuu.  Ray C ambaye ni msanii maarufu anayeishi nchini Uingereza kwa sasa, ametupia…

Anguko Kubwa Mastaa 2020

MWAKA 2020 utakuwa wenye anguko kubwa kwa mastaa wa Bongo, habari mpya kutoka kwa mtabiri maarufu, Afrika Mashariki na Kati, Maalim Hassan Yahya Hussein zinaeleza.  Risasi Mchanganyiko lilifunga safari hadi zilipo ofisi za…