Msanii wa Bongo Fleva Nandy Alijisikia Vibaya Kumkana Mwanaye Pindi Alipohojiwa
Nandy The African Princess; ni msanii mkubwa wa kike nchini Tanzania ambaye anasema kuwa, amefikia hatua ya kuuanika ujauzito wake kwa sababu alichoka kumkana mwanawe kila alipokuwa akihojiwa.
Nandy au Mama Nenga anasema;…