Mbunge Shigongo ,Tabasamu Waisambaratisha ,Chadema, CUF Buchosa.
Wabunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM ) Wilayani Sengerema Mkoa wa Mwanza Eric Shigongo wa Jimbo la Buchosa na Hamis Tabasamu wa Jimbo la Sengerema wamevisambaratisha vyama vya upindanzi vya Chadema ,na CUF wilayani humo baada ya viongozi…