The House of Favourite Newspapers

Maalim Seif: Nimepindua Meza CUF

DAR: Mwenyekiti wa Chama cha ACT- Wazalendo, Maalim Seif Shariff Hamadi amesema kutokana na misingi aliyoijenga kwa wafuasi wake visiwani Zanzibar, amefanikiwa kukipindua Chama cha Wananchi (CUF) visiwani humo kwa asilimia 100.…