MAKAHAMA ya rufaa ya Versailles nchini Ufaransa imemfutia shitaka la unyanayasaji wa kingono na kumtia hatiani kwa makosa ya kuwashikilia wanawake bila riddhaa yao mwanamuziki maarufu wa muziki wa dansi, Koffi Olomidé kutokea nchini…
Tamasha la muziki la nyota wa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo Koffi Olomide, lililotarajiwa kufanyika Desemba 11, jijini Nairobi limekatishwa.
Wanaharakati waliomba onyesho hilo lisiendelee kutokana na sifa yake ya kuwanyanyasa…
MAESTRO wa muziki wa Rhumba barani Afrika, Koffi Olomide au Mopao anatarajia kulisimamisha Jiji la Dar kwa shoo ya kibabe katika Tamasha la Kilele cha Wiki ya Mwananchi.
Koffi aliwasili jana, Jumamosi na kufanya jiji…
MWANAMUZIKI nyota wa dansi kutoka nchini DRC-Kongo, Koffi Olomide leo Agosti 28, 2021 ametua nchini kunogesha kilele cha Wiki ya Wananchi kitakazofanyika kesho Jumapili Agosti 29 katika Uwanja wa Mkapa.
Koffi amepokelewa…
PISI kali kunako muziki wa Bongo Fleva, Faustina Charles Mfinanga ‘Nandy’ Feb 26, 2021 ameachia video yake ya LEO LEO aliomshirikisha Koffi Olomide.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️…
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi akiteta jambo na mwanamuziki galacha duniani katika muziki wa rhumba, Koffi Olomide akaka Mzee ya Mboka, walipokutana usiku wa kuamkia leo kwenye Ukumbi wa…
Sexy lady anayekimbiza kwa sasa kwenye Bongo Fleva, Faustina Charles ‘Nandy’ leo Februari 11, 2021 ameachia wimbo wake mpya wa LEO LEO aliomshirikisha Koffi Olomide .
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:…
BINTI wa Mwanamuziki mkongwe wa nyimbo za Soukous, Antoine Christophe Agbepa Mumba maarufu kama Kofi Olomide, Didi Stone Olomide ameanza kuwadondosha mate wanaume hapa nchini kutokana na urembo wake ambao umewalazimu baadhi ya…
MSANII mkongwe kutoka DRC Congo amewasili nchini usiku wa kuamkia Ijumaa wiki hii, Novemba 20, 2020. kwa ajili ya kufanya kazi za muziki na mwanamuziki Diamond Platnumz na atakuwepo hapa mpaka watakapozikamilisha.
Koffi…
MSANII mkongwe wa muziki wa dansi kutokea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Congo, Koffi Olomide anayetamba na kibao cha 'Papaa Ngwasuma' ametua jijini Dar es Salaam leo ili kuwafurahisha mashabiki wa muziki kwa burudani ya…
Koffi Olomidé, mmojawapo kati ya nyota wa muziki Afrika , amepatikana na hatia ya kumbaka mmoja ya wanengeuaji wake alipokuwa na umri wa miaka 15.
Amehukumiwa miaka miwili gerezani na mahakama ya Ufaransa akiwa…
PESA inaongea! Msanii nguli wa Bolingo kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Koffi Olomide ‘Mopao’ anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye sherehe ya siku ya kuzaliwa (bethidei) ya pedeshee mwenye jina kubwa Bongo, Jack Pemba inayotarajiwa…
Mwanamuziki nguli kutoka nchini Congo Koffi Olomide.
HUKUMU ya mwanamuziki nguli kutoka nchini Congo Koffi Olomide itatolewa leo jumatano katika mahakama moja mjini Kinshasa.
Hukumu hiyo itatolewa baada ya kukamatwa na polisi jana…
Koffi Olomide wakati akikamatwa na polisi leo mjini Kinshasa.
Mwanamuziki nguli wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Koffi Olomide amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela huko DRC kwa kumpiga teke mmoja wa madansa wake aitwaye…
Mwanamuziki nguli wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Koffi Olomide amekamatwa na polisi akiwa nyumbani kwake mjini Kinshasa.
Imeelezwa kuwa Koffi amekamatwa kwa agizo kutoka ofisi ya mwendesha mashtaka.
Staa huyo…
Staa asiyekaukiwa na vituko, Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’.
Hamida Hassan
Staa asiyekaukiwa na vituko, Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’ ameonekana kulazimisha penzi kwa mwanamuziki Koffi Olomide kutokana na maelezo yake kwamba anampenda na…
Nguli wa muziki wa Dansi kutoka Kongo, Koffi Olomide (katikati), akitumbuiza ndani ya Ukumbi wa Escape One Mikocheni na wanenguaji wake.Mzee wa selfee akicheza pamoja na wanenguaji wake.
Muimbaji wa Koffi Olomide, Cindy akifanya yake.…
Mwanamuziki, Koffi Olomide.
Andrew Carlos
MWAKA 1950, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) alitokea msanii wa muziki wa Soukous (Lingala/Rumba ya Kongo), Verkys Kiamuangana Mateta ambaye aliitetemesha Kongo akiwa na Bendi ta TPOK Jazz.…
PAMOJA na Mahakama ya Rufaa nchini Ufaransa kumuondolea mwanamuziki Koffi Olomide wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kosa la unyanayasaji wa kingono, lakini imemtia hatiani kwa kuwashikilia wanawake bila hiari yao.
Mahakama…
Wanaharakati wa haki za wanawake nchini Rwanda wamelipiga ‘stop’ tamasha la mwamba wa Rhumba wa Congo, Koffi Olomide kwa tuhuma za ubakaji na unyanyasaji wa kingono anazokabiliwa nazo katika Mahakama za Ufaransa.
Mwezi…
MSANII Koffi Olomide maarufu Mopao leo Agosti 29, 2021 amefanya shoo ya aina yake kwenye Tamasha la Wiki ya Mwananchi katika Uwanja wa Mpira wa Benjamin Mkapa
STORI zinazotrendi mtandaoni ni kuhusu African Princess, Nandy, ambaye ameweka wazi kuwa wimbo wake mpya aliofanya na msanii Koffi Olomide kutoka Congo DR, umemgharimu zaidi ya shilingi milioni 70.
…
MWANAMUZIKI wa dansi nchini, Johnson Nguza maarufu Papii Kocha amesema amemshangaa mkongwe wa dansi kutoka Congo DR, Koffie Olomide katika wimbo wa Waah alioshirikiana na msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platniumz’ kwa…
KITENDO cha msanii Koffi Olomide kwenda kula kwenye mgahawa wa msanii Shilole, hakikuishia kwenye kula tu bali na kuzungumzia kazi.
Hayo ameyaeleza Shilole alipokuwa akiitambulisha kwa waandishi wa habari lebo ya ShishiGang na msanii…
MWANAMUZIKI mkongwe kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Antoine Christophe Agbepa Mumba almaarufu Koffi Olomide au Mopao Mokozi, amemnyooshea mikono na kumvulia kofia staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kisha…
UKIE-NDA nchi ya Sierra Leone au Ghana ukaulizia maana ya jina la Koffi lazima utaambiwa ni Ijumaa. Katika mila nyingi za nchi za Magharibi mwa Afrika watoto wa kiume wana majina kulingana na siku waliozaliwa.Mfano mtoto wa kiume…
BAADA ya kushikiliwa katika Gereza la Makala mjini Kishansa kwa zaidi ya siku saba, mkongwe wa muziki wa Kilingala, Koffi Olomide ‘Grand Mopao’ hatimaye ameachiwa huru na anatarajiwa kupiga bonge moja la shoo ya bure leo mjini Kinshasa.…
IKIWA ni siku kadhaa baada ya mwanamuziki Koffi Olomide kufukuzwa nchini Kenya kwa kumpiga mnenguaji wake, Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa Rhumba, raia wa Jamhuri ya Kidemokasia ya Kongo, Defao Matumona 'General Defao' leo amezuiliwa…
Mwanamitindo anayechipukia, Didi Olomide akiwa na baba yake Koffi Olomide.
PARIS, Ufaransa
HUKU baba yake, Koffi Olomide akiachiwa kwa dhamana baada ya kutakiwa kufungwa miezi 18 kwa kumpiga mnenguaji wake
Pame mwanamitindo…
Koffi Olomide akimpiga mnenguaji wake.
Na Andrew Carlos
AMEVUNA alichopanda! Unaweza sema hivyo kwa maana nyingine baada ya wikiendi iliyopita ndani ya Kenya kutawala kwa sakata jingine la mwanamuziki mashuhuri kutoka Jamhuri ya…
Nairobi, Kenya
SAA chache baada ya kusambaa mitandaoni kwa video inayomuonesha gwiji wa muziki wa dansi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Koffi Olomide akimpiga mateke mmoja kati ya madansa wake wa kike, msanii huyo ameibuka…
Koffi Olomide akimpiga mateke mnenguaji wake.
JANA Ijumaa Standard Media Digital ya Kenya ilitoa video ikionyesha Staa wa Muziki wa Kongo, Koffi Olomide akimpiga mateke dancer wake wa kike muda mfupi baada ya kuwasili katika Uwanja wa…
Apata mtoto wa kiume,akaza na kufanikiwa kuingia kwenye bendi ya Koffie
Wiki ya nne sasa Christian Bella ‘Obama’ au The King Of Best Melody anasimulia historia ya maisha yake aliyopitia mpaka anafanikiwa kufika mahali hapo alipo leo.…
Christian Bella ‘Obama’.
Stori: Boniphace Ngumije
HII VIPI UNAYO! KING of the Best Melodies, Christian Bella ‘Obama’ hivi karibuni amefunguka kuwa, baada ya kutoka na kolabo ya Acha Kabisa aliyomshirikisha mkongwe Koffi Olomide,…
KING of the Best Melodies, Christian Bella ‘Obama’.
Na Mwandishi Wetu
KING of the Best Melodies, Christian Bella ‘Obama’ anatarajiwa kufunga mwaka (Desemba 31) na wimbo alioufanya na mkongwe wa muziki kutoka Kongo (DRC), Koffi Olomide…
Stori: Andrew Carlos
Kimataifa zaidi! KING of the Best Melodies, Christian Bella amefungukia video ya ngoma yake ya Acha Kabisa aliyofanya na mkongwe wa muziki kutoka Kongo (DRC), Koffi Olomide kuwa lazima akatengenezee nje ya nchi…