Mirabaha ya COSOTA, Mt. Cesilia, Alikiba, Rose Muhando Watikisa
Serikali ya Tanzania kupitia Chama cha Haki Miliki (COSOTA) imezindua rasmi Tuzo za Wasanii pamoja na ugawaji wa mirabaha kama alivyoagiza Rais Samia Suluhu Hassan ambae alitaka kuanzia December 2021 Wasanii wawe wanalipwa kutokana na…