The House of Favourite Newspapers

Wanajamii Waaswa Kutokomeza Ukeketaji

WADAU mbalimbali wametoa mchango wao namna ya kukabiliana na ukatili wa kijinsia kwenye suala zima la ukeketaji na madhara yapatikanayo katika swala zima la ukeketaji wakati wa semina za jinsia na maendeleo (GDSS) ikiwa ni semina ya…

Mama Amkata Uume Mtoto

UKATILI wa kutisha! Hakuna lugha ny­ingine unayoweza kuzungumza zaidi ya kusema hivyo, baada ya mama mmoja, mkazi wa Sinza C jijini Dar es Salaam, ku­kata uume wa mtoto wa jirani yake, kwa madai kuwa alimbaka binti yake wakati…

UTI; gonjwa linalosumbua wanawake -3

Tunaendelea kuchambua ugonjwa wa UTI. Matatizo ya maambukizi ya UTI licha ya kuwapata zaidi wanawake, huwakumba pia watoto wadogo wa kike kutokana na sababu za kimaumbile ambapo viungo vyao vya uzazi, njia ya mkojo na haja kubwa vipo…

Maambukizi katika njia ya mkojo (UTI)-2

Tunaendelea kuchambua maambukizi katika njia ya mkojo au UTI. UTI KWA WANAWAKE Upungufu wa homoni ya wanawake iitwayo Oestrogen husababisha bakteria wanaosababisha maambukizi katika njia ya mkojo kuzaliana kirahisi. Pia matumizi ya…