The House of Favourite Newspapers

Lava Lava Ana Gundu WCB?

MEI 2017 msanii Lava Lava alianza kufyatua ngoma zake akiwa kwenye lebo kubwa ya muziki Bongo, WCB. Nyimbo zake za Tuachane, Niuwe, Gundu, zilimfanya msanii huyo tukatukanwe kisela yaani asifiwe kiaina mitaani kwa…

WCB Wakimbiza Wasanii Youtube

Takwimu zilizotolewa na matandao wa YouTube zinazohusisha channel za wanamuziki nchini Tanzania zilizotazamwa kwa wingi mwezi Septemba zimewaweka kileleni wasanii wa lebo ya WCB (Wasafi Classic Baby). Katika kinyan’ganyiro…

Vanny Azua Jambo Kujitoa WCB

DAR: Kruu ya Wasafi Classic Baby (WCB), limeendelea kuwa chanzo kikubwa cha habari za mastaa Bongo, safari hii kuna mpya inayomhusu bwa’mdogo mwenye Mbeya yake mgongoni, Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’ au unaweza kufupisha kwa…

ISHARA 5 HARMONIZE KUJITOA WCB

Kama inavyokuwa kwa mzazi na mtoto anapofikisha umri wa kujitegemea, ndivyo inavyotokea kwa staa wa Bongo Fleva, Rajab Abdul Kahali ‘Harmonize’ baada ya ishara tano kujitokeza zinazoashiria dalili zote za kujitoa sehemu…

TANSHA ATAJA SABABU ZA KUITOSA WCB

W AKATI ngoma yake ikiwa ‘hot’ katika redio mbalimbali nchini Kenya, demu wa staa wa Bongo Fleva, Tanasha Donna Oketch ametaja sababu ya kuitosa lebo ya kurekodi muziki ya Wasafi  Classic Baby ‘WCB’. Tanasha anayetikisa na Ngoma ya Radio…