Babu Tale: Rayvanny Hajakamilisha Utaratibu, Bado ni Mali ya WCB
MMOJA wa mameneja wa Lebo ya WCB, Hamisi Taletale, ‘Butale’ ameweka wazi kuwa msanii Rayvanny bado yupo chini ya #WCBWASAFI kwa sababu bado hajakamilisha utaratibu wa kujiondoa katika lebo hiyo.
Babu Tale ametoa kauli hiyo…