×

Habari

Meta Yazindua Huduma za Kulipia Kwa Facebook, Instagram na WhatsApp

Kampuni ya teknolojia ya Meta imetangaza rasmi kuzindua huduma mpya za usajili wa kulipia kwa majukwaa yake ya Facebook, Instagram...

READ MORE

Marekani Yaionya Oman Kuhusu Ushuru Katika Mlango wa Bahari wa Hormuz

Waziri wa Fedha wa Marekani, Scott Bessent amesema Oman imeihakikishia Marekani kuwa haina mpango wa kuweka ushuru kwa meli zinazopita...

READ MORE

Nchimbi Aungana na Waombolezaji Katika Ibada ya Mama Magufuli (Picha +Video)

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Emmanuel Nchimbi amefika katika Viwanja vya Kilimani vilivyopo Wilaya ya Chato...

READ MORE

Wanafunzi 8 Washikiliwa Kufuatia Moto wa Shule ya Utumishi Girls Kenya

Polisi nchini Kenya wamewakamata na kuwazuilia wanafunzi wanane kuhusiana na mkasa wa moto uliotokea katika shule ya bweni ya wasichana...

READ MORE

Washindi Wa Kwanza Wa Kampeni Ya “Kila Muamala Ni Bao La Ushindi” Wakabidhiwa Zawadi Zao

29.05.2026, Dar es Salaam – Kampuni ya Mixx imewakabidhi zawadi washindi wa awamu ya kwanza wa kampeni ya “Kila Muamala...

READ MORE

Karatu Kunufaika na Uwekezaji wa Kituo cha Mafuta cha Orxy

UZINDUZI wa kituo kipya cha mafuta cha Orxy wilayani Karatu mkoani Arusha umeelezwa kuwa ni hatua muhimu ya kuongeza fursa...

READ MORE

Mashabiki wa Tyla Wapaniki Baada ya Kutoweka Mitandaoni Kabla ya APop

Mashabiki wa msanii wa Afrika Kusini, Tyla, wameibua taharuki mtandaoni baada ya nyota huyo kuzima akaunti zake za X na...

READ MORE

Fahamu Madhara ya Kuendesha Gari Taa ya Mafuta Ikiwa Inawaka

Madereva wengi wana tabia ya kupuuza taa ya mafuta pale inapowaka kwenye dashboard ya gari, wakiamini bado wanaweza kusafiri umbali...

READ MORE

Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi Awasili Chato Kuhudhuria Mazishi ya Mama wa Hayati Magufuli

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili Chato Mkoani Geita, ambapo anatarajiwa kumwakilisha...

READ MORE

JKT Yaita Vijana 60,000 Waliohitimu Kidato Cha Sita Kujiunga Mafunzo ya Lazima

Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limetangaza kuwaita vijana 60,000 waliomaliza kidato cha sita mwaka 2026 kujiunga na mafunzo ya lazima...

READ MORE

Rais Samia Asema Wananchi Bado Hawana Imani Kubwa na Polisi (Picha +Video)

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema bado kuna kazi kubwa ya kufanyika ili wananchi waweze kuliamini zaidi Jeshi la...

READ MORE

Video: Mahakama Yaifuta Kesi ya Mgogoro Mgawanyo wa Rasilimali ya Chadema

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, leo Alhamisi Mei 28, 2026 imeifuta rasmi hati ya kesi...

READ MORE

Polisi Wachunguza Tukio la Mwanamke Kumwagiwa Maharagwe ya Moto, Familia Yafunguka

Mwanamke mmoja mkazi wa Kibera nchini Kenya, Maureen Masili, amelazwa katika Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta baada ya kudaiwa kushambuliwa...

READ MORE

Wanafunzi 16 Wafariki, 74 Wajeruhiwa Katika Ajali Ya Moto Shuleni Kenya

WANAFUNZI 16 wamefariki dunia huku wengine 74 wakijeruhiwa baada ya moto mkubwa kuteketeza bweni la wanafunzi katika Chuo cha Wasichana...

READ MORE

Marekani Yaishambulia Iran Mara ya Pili Ndani ya Siku Tatu, Trump Akanusha Makubaliano

Marekani usiku wa kuamkia leo Mei 28, 2026 imefanya mashambulizi mapya mara ya pili ndani ya siku tatu  nchini Iran...

READ MORE

Fahamu Teknolojia Mpya Ndani ya Toyota Crown 2026

Katika ulimwengu wa magari ya kisasa, majina machache tu yana historia ndefu kama Toyota Crown. Kizazi kipya cha mwaka 2026...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Arejea Tanzania Baada Ya Mkutano Wa AfDB Congo

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amerejea nchini Tanzania akitokea jijini Brazzaville, Jamhuri ya Kongo alikomwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan...

READ MORE

Mabadiliko ya Mwili ya Sinenhlanhla Khoza (31) Yaibua Hofu Baada ya Kuzeeka Ghafla – Video

Mtubatuba, KwaZulu-Natal – Hadithi ya Sinenhlanhla Khoza, Dada mwenye umri wa miaka 31, imezua mjadala mkubwa nchini Afrika Kusini baada...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 28, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Waziri Mkuu aipongeza NEMC kwa miaka 40,Aaahidi kusimama kidete iwe mamlaka

Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amezindua mfumo mpya wa kidijitali wa kufuatilia uchafuzi wa mazingira wa Baraza la Taifa la...

READ MORE

Waziri Mkuu Mwigulu Akutana na Mohamed Janabi Brazzaville

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amefanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika (WHO AFRO), Profesa...

READ MORE

Fainali ya Conference: Crystal Palace vs Rayo Vallecano, Nani Ataandika Historia Leo?

Fainali ya Conference League inatarajiwa kupigwa siku ya leo kule Ujerumani huku kila timu ikiwa na uchu wa kufanya vizuri...

READ MORE

Rais Museveni Amteua Mke Wake Kuwa Waziri wa Elimu na Michezo

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amemteua tena mkewe, Janet Museveni kuendelea kuhudumu kama Waziri wa Elimu na Michezo katika Baraza...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Aeleza Mafanikio ya Tanzania Kwenye Usimamizi wa Fedha Afrika

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameshiriki mdahalo maalum wa uzinduzi wa taarifa ya African Economic Outlook 2026 ambapo ametoa taswira...

READ MORE

Kafulila: PPP Yaleta Mapinduzi Makubwa Kwenye Huduma za Hijja Saudi Arabia

Mkurugenzi Mtendaji wa PPP-Centre, David Kafulila amesema mfumo wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP) umeleta mageuzi...

READ MORE

Fahamu Sensor Zilizopo Kwenye Gari za Toyota na Matumizi Yake

Magari ya Toyota yana mfumo wa kisasa unaotumia sensa (sensors) mbalimbali ili kuboresha utendaji wa injini, usalama na ufanisi wa...

READ MORE

Mojtaba Khamenei Atoa Onyo Kwa Marekani Kuhusu Vituo vya Kijeshi Mashariki ya Kati

Kiongozi mkuu wa Iran, Mojtaba Khamenei, amesema mataifa ya Mashariki ya Kati hayatatumika tena kama ngao za kulinda vituo vya...

READ MORE

Tinubu Ashinda Uteuzi wa APC Kugombea Urais Nigeria 2027

Rais wa Nigeria, Bola Tinubu, amepata rasmi tiketi ya chama tawala cha All Progressives Congress (APC) kuwania urais katika uchaguzi...

READ MORE

Waziri Mkuu Mwigulu Afanya Mazungumzo na Rais wa AfDB

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amefanya mazungumzo na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Sidi Ould Tah...

READ MORE

Nmb Foundation, TACAIDS Waunganisha Afya na Uchumi Kupambana na Maambukizi ya VVU

Taasisi ya NMB Foundation na Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) zimesaini makubaliano ya utekelezaji wa pamoja wa Mradi wa...

READ MORE

Mama Mzazi wa Hayati Magufuli Kuzikwa Ijumaa Chato, Serikali Kugharamia Mazishi

Mama mzazi wa Hayati John Pombe Magufuli, Bi. Suzana Magufuli, anatarajiwa kuzikwa siku ya Ijumaa katika makaburi ya familia yaliyopo...

READ MORE

Rais Samia Awaapisha Majaji Wa Mahakama Ya Rufani, Awaonya Kutenda Haki – (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka Majaji wa Mahakama ya Rufani aliowaapisha leo Mei 26,...

READ MORE

Tyla Ang’ara Marekani, Ashinda Tuzo Mbili AMA 2026

Msanii wa Afrika Kusini, Tyla, ameendelea kung’ara kimataifa baada ya kushinda tuzo ya Social Song of the Year kwenye tuzo...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Israel Netanyahu Akimbizwa Hospitali, Ofisi Yake Yafunguka

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amelazwa kwa muda mfupi katika Hospitali ya Hadassah Ein Kerem mjini Jerusalem usiku kuamkia...

READ MORE

Petra Bay Maysara Yafungua Sura Mpya ya Maisha ya Kifahari Dar

Dar es Salaam, Tanzania — 25 Mei 2026 Mradi wa Petra Bay Maysara ulioendelezwa na Petra Protek Construction na kusimamiwa...

READ MORE

Marekani Yashambulia Boti za Iran Zilizokuwa Zikiweka Mabomu Baharini – Video

 Marekani imefanya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran baada ya kudai kugundua vikosi vya Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC)...

READ MORE

Airtel Yachochea Ukuaji wa Biashara Kupitia Huduma za Kidijitali

Kampuni ya mawasiliano ya Airtel Tanzania imeendelea kupanua huduma zake za kidijitali baada ya kuzindua maduka mawili mapya ya kisasa...

READ MORE

TRC Yaongeza Usalama wa Reli ya SGR kwa Magari ya Kisasa Yenye Teknolojia ya Laser

Shirika la Reli Tanzania Tanzania Railways Corporation (TRC) limepiga hatua kubwa katika kuimarisha usalama wa reli ya kisasa ya Standard...

READ MORE

Rais Samia Aomboleza Kifo Cha Mama Wa Rais Hayati John Pombe Magufuli

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Bi. Suzana Magufuli, mama mzazi wa aliyekuwa...

READ MORE

Yas Yatambulika Miongoni mwa Chapa Zinazofuatiliwa Afrika 2026

Dar es Salaam, 25.05.2026. Kampuni ya mawasiliano ya Yas inayomilikiwa na AXIAN Telecom, imeendelea kupata mafanikio makubwa baada ya kutajwa...

READ MORE