×

Habari

UNICEF: Watoto 300 Wameuawa Gaza Ndani ya Siku 300, Maelfu ya Wapalestina Wahamishwa

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limesema kuwa angalau watoto 300 wameuawa katika Ukanda wa Gaza ndani...

READ MORE

Meridianbet Yawashangaza Wengi Kwa 3 Fisher Cats Kabla Ya Uzinduzi Rasmi

Meridianbet imeendelea kuwapa wateja wake sababu za kutabasamu baada ya kuzindua kwa kipekee mchezo mpya wa kasino, 3 Fisher Cats,...

READ MORE

Simba Yapewa Onyo, Mighty Wanderers Si Timu ya Kawaida, Hizi Ndizo Takwimu Zake

Mighty Wanderers ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Malawi (Super League) na ndio wapinzani wa Simba SC katika hatua...

READ MORE

Trump Akanusha Marekani Kuishiwa Silaha, Aonya Watu Wanaovuja Siri za Serikali

Rais wa Marekani, Donald Trump, amekanusha taarifa zinazodai kuwa Marekani inakabiliwa na upungufu wa silaha na risasi za kijeshi, akisema...

READ MORE

Vijana Wafundishwa IoT, Airtel Money Yaingia Kwenye Safari ya Ubunifu

Dar es Salaam: Airtel Money kwa kushirikiana na Buni, Dar Teknohama Business Incubator (DTBI), Vocalize IoT Project na Techstar Innovation...

READ MORE

Ubora wa Tanzania Watajwa Dunia, SBL Yatwaa Tuzo Nne

Dar es Salaam, Tanzania – Agosti 7, 2026: Kampuni ya Serengeti Breweries Limited (SBL) imeipa Tanzania heshima kimataifa baada ya...

READ MORE

Rais wa Iran Azungumzia Hali ya Mojtaba Baada ya Ripoti za Kuumia

Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kuwa licha ya changamoto za mawasiliano na Kiongozi Mkuu wa Iran, Mojtaba Khamenei, bado...

READ MORE

T-CAMS Yaandika Historia Mpya Katika Sekta ya Forodha Tanzania

Katika dunia ya sasa, ushindani wa biashara haupimwi tena kwa ukubwa wa bandari au idadi ya mipaka ya nchi, bali...

READ MORE

Vuna na Mixx Yafungua Fursa Mpya kwa Wakulima Kanda ya Kati

07.08.2026 | Dodoma. Wakulima wa Kanda ya Kati wanaotumia huduma za kifedha za Mixx by Yas kupitia vyama vya ushirika...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Agosti 7, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Kikwete Atoa Tahadhari Afrika, Asema Elimu ya Kidijitali Ni Muhimu kwa Vijana – Video

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amezitaka nchi za Afrika kuongeza uwekezaji katika elimu na maendeleo...

READ MORE

Waziri Sangu Aipongeza Yas kwa Kuchochea Kilimo na Uchumi wa Kidijitali Nanenane Lindi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, ameipongeza kampuni ya Yas kwa...

READ MORE

Polisi Wavunja Ukimya Kuhusu Sanduku Lililotelekezwa Mwenge – Video

Jeshi la Polisi limetoa tamko kuhusu sanduku lililokutwa limefungwa kwa kufuli na kutelekezwa katika eneo la Mwenge jijini Dar es...

READ MORE

Rais Samia Afanya Mabadiliko, Ateua CEO wa TAFICO na Balozi Malaysia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi wawili katika sekta ya uvuvi...

READ MORE

Malkia wa Matumaini TikTok Afariki Akiwa na Miaka 26, Familia Yake Yafunguka

Nyota wa TikTok, Sydney Towle, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 26 baada ya kuishi kwa miaka mitatu akipambana...

READ MORE

Rais Samia na Museveni Washuhudia Makubaliano ya Mradi wa Nishati Tanga

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, na Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, leo wameshuhudia...

READ MORE

Safari ya Afrika Yaanza: Simba na Yanga Wapangiwa Wapinzani CAFCL

Wawakilishi wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL), Simba SC na Yanga, wamepata wapinzani wao katika hatua ya awali...

READ MORE

Video: Chalamila Aagiza Uzio wa Ghorofa Masaki Ubomolewe Papohapo

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, leo Agosti 6, 2026, ameagiza kubomolewa mara moja kwa uzio uliokuwa...

READ MORE

Taharuki Yatanda Mwenge Baada ya Boksi Lisilojulikana Kukutwa Kituo cha Mabasi – Video

Taharuki imezuka katika Kituo cha Mabasi ya kwenda Tegeta kilichopo eneo la Mwenge, Dar es Salaam, baada ya boksi ambalo...

READ MORE

Iran Yazionya Nchi za Ghuba Kuhusu Mashambulizi ya Marekani

Iran imezitahadharisha nchi za Ghuba kuwa shambulio lolote jipya la Marekani dhidi ya ardhi yake litajibiwa kwa mashambulizi yatakayolenga miundombinu...

READ MORE

Mashabiki Afrika Wasubiri Burudani Mpya: CANAL+ Yapata Haki za UEFA Hadi 2031

CANAL+ imetangaza kupata haki miliki za kuonesha mashindano yote ya klabu za wanaume ya UEFA katika nchi za Afrika Kusini...

READ MORE

Matthew McConaughey na Mkewe Wakutana na Papa Leo XIV Vatican

Muigizaji maarufu wa Hollywood Matthew McConaughey na mkewe Camila Alves McConaughey wamekutana na Pope Leo XIV katika Kanisa la Mtakatifu...

READ MORE

Hradec Králové dhidi ya Beşiktaş Mchezo wa Kufuzu Europa League

Mchezo huu utaanza saa 19:00 kwa muda wa huko Czechia, ambao ni sawa na saa 20:00 kwa muda wa Afrika...

READ MORE

UFC Yateketeza Sh Bilioni 78 Kwa Tukio la Siku ya Kuzaliwa kwa Trump

Shirika la mchezo wa mapigano la UFC limepata hasara ya takribani dola milioni 30, sawa na zaidi ya Sh bilioni...

READ MORE

CCM Yampongeza Rais Samia kwa Kuimarisha Taswira ya Tanzania Kimataifa

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kile kilichoelezwa kuwa ni mafanikio katika utekelezaji wa miradi...

READ MORE

Mzuka wa Mabingwa Kukupa Ushindi Ukicheza Kwa TZS 5,000 Pekee

Burudani ya michezo na kasino imepata sura mpya baada ya Meridianbet kuzindua promosheni ya Mzuka wa Mabingwa, kampeni inayowapa wateja...

READ MORE

Fahamu Safari ya Louis Vuitton, Kijana Maskini wa Kijijini Aliyejenga Chapa Yenye Thamani Kubwa Duniani

Louis Vuitton alikuwa mmoja wa watu muhimu katika historia ya mitindo ya kifahari duniani. Jina lake limeendelea kuwa alama ya...

READ MORE

Fahamu Njia 5 za Vijana Kujipatia Kipato Kikubwa na Kujenga Maisha Bora

Fedha ni sehemu muhimu ya maisha ya kila mtu, lakini kupata mafanikio ya kifedha kunahitaji zaidi ya kutamani kuwa na...

READ MORE

Tanzania Yavutia Uwekezaji wa Huduma za Kifahari Viwanja vya Ndege

 Kampuni ya Plaza Premium Group (PPG), inayojihusisha na huduma za ukarimu katika viwanja vya ndege duniani, inatarajia kufungua ukumbi wake...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Agosti 6, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

NMB Yageuza Nanenane Kuwa Darasa la Fursa, Maarifa na Uwezeshaji

  Benki ya NMB imeendelea kuifanya Nanenane 2026 kuwa zaidi ya maonesho ya kilimo kwa kuendesha kampeni ya utoaji wa...

READ MORE

Twende Butiama Yafungasha Virago, Yaitwa Nyerere Cycling Tour

Kampuni ya Vodacom Tanzania Plc kwa kushirikiana na Chama cha Baiskeli Tanzania (CHABATA) imetangaza kubadilishwa rasmi kwa jina la msafara...

READ MORE

Barker Afunguka Baada ya Simba Kutua Nchini, Atuma Ujumbe kwa Mashabiki – Video

Kikosi cha Simba SC, leo Agosti 5, 2026, kimerejea nchini kikitokea Kigali, Rwanda, kilikoshiriki michuano ya CECAFA Kagame Cup pamoja...

READ MORE

EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta, Petroli Yashuka Hadi Sh 3,898 Dar

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kushuka kwa bei kikomo za bidhaa za mafuta nchini...

READ MORE

Mshtuko Mexico! TikToker César Gastélum Apigwa Risasi Akiwa Mubashara

Mshawishi maarufu wa TikTok kutoka Mexico, César Gastélum, amefariki dunia baada ya kupigwa risasi alipokuwa akifanya matangazo ya moja kwa...

READ MORE

Rais Samia Aeleza Umuhimu wa Nishati Safi katika Ukuaji wa Uchumi (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema upatikanaji wa nishati safi na ya uhakika ni...

READ MORE

Trump Atoa Taarifa Mpya Kuhusu Iran, Asema Hormuz Kufunguliwa Hivi Karibuni

Rais wa Marekani Donald Trump amesema serikali yake inaendelea kufanya mazungumzo mazuri sana na Iran, huku akieleza matumaini ya kufikiwa...

READ MORE

UN Yatoa Tahadhari: Watu 56 Wanyongwa Iran Kwa Kesi za Usalama wa Taifa

Mkuu wa Shirika la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa, Volker Türk, amesema takribani watu 56 wameuawa kwa kunyongwa...

READ MORE

Fahamu Maajabu ya Lexus LX 600, SUV ya Kifahari Yenye Bei ya Mamilioni – Video

Lexus LX 600 ni moja ya SUV za kifahari zinazochanganya nguvu, teknolojia ya kisasa na uwezo mkubwa wa kuendesha kwenye...

READ MORE

Wakulima 1,500 Morogoro Wanufaika na Huduma za Mixx by Yas

Zaidi ya wakulima 1,500 mkoani Morogoro wamenufaika na huduma za kifedha kidijitali zinazotolewa na Mixx by Yas kupitia malipo ya...

READ MORE