Mama wa kijana anayedaiwa kuuawa na sungusungu anayejulikana kwa jina maarufu la Mama Nandy, amezungumza tena na Global TV baada ya kumaliza shughuli ya kumzika kijana wake ambapo ameomba mamlaka zinazohusika, kutenda haki juu ya kifo cha…
Walinzi shirikishi maarufu kama sungusungu, wanadaiwa kumuua kwa kipigo, kijana mmoja mwenye changamoto ya afya ya akili, kwa kumpiga wakimtuhumu kuwa ni mwizi wakati akichota maji usiku.
Inaelezwa kuwa kijana huyo, alipatwa na…
Staa wa kike wa Bongo Fleva, Faustina Mfinanga almaarufu Nandy kwa mara ya kwanza amemposti mwanaye, Kenaya Instagram aliyezaa na rapa maarufu Bongo, William Nicholaus Lyimo Bill Nass, akimtakia heri ya siku yake ya kuzaliwa, akiwa…
Staa wa kike wa Bongo Fleva, Faustina Mfinanga almaarufu Nandy ametambulisha lebo yake mpya ya muziki iitwayo The African Princess Label.
Utambulisho huo, utafuatiwa na tukio la kutambulishwa kwa msanii wa kwanza wa lebo hiyo, ambapo…
MSANII wa Bongo, Rajab Abdul Kahali maarufu kama Harmonize au Harmo ana nyota kwa wasanii wa kike.
Inaelezwa kwamba msanii yeyote wa kike atakayemshirikisha Harmonize katika ngoma yake basi wimbo huo hutoboa.
Imani hiyo…
Mwaka 2022 umekuwa mwaka mzuri kwa tasnia ya muziki wa Tanzania, tukishuhudia kuibuka kwa wasanii mbalimbali wanaochipukia, wasanii wakijituma zaidi ya kawaida kwenda kwenye viwango vya juu na kutambulika kimataifa. Mwaka…
MSANII wa Bongo Fleva, Faustina Charles Mfinanga ‘nandy’ ameeleza kusikitishwa kwake baada ya kupata taarifa kuwa msanii mwenzake Rayvanny ametakiwa kulipa pesa kiasi cha Tsh milioni 50 kwa sababu alikwenda kufanya shoo kwenye Nandy…
SUPASTAA wa Bongo Fleva, Faustina Charles Mfinanga ‘nandy’ ameamua kufunguka ya moyoni kuhusu mahaba anayopewa na mumewe ambaye pia ni msanii mwenzake, William Lyimo ‘Billnass’ katika maisha yao ya ndoa waliyoyaanza hivi karibuni.…
MSHAURI wa masuala ya mahusiano Sheikh Abdulrazack amefichua siri ambayo ilikuwa haifahamiki miongoni mwa mashabiki wengi wa muziki nchini kuhusu namna wasanii wawili Billnass pamoja na Nandy safari yao ya uhusiano ilivyoanza hadi hapo…
NANDY au Nandera; ni mke halali wa Billnass au Nenga ambaye amembabua mtu mmoja aliyetoa maneno kuhusu mimba yake.
Mtu huyo ametoa komenti kwenye moja ya posti za Nandy inayoonesha akiwa anafanya photo shoot ya ujauzito…
MSANII maarufu wa Bongo Fleva, Faustina Mfinanga ‘nandy’ au ‘Mama Kijacho’ ameingia kwenye headlines na mtangazaji Burtoin Mwenda ‘Mwijaku’ baada ya audio kusambaa wakitifuana kwenye mazungumzo yao.
Taarifa za ndani kabisa…
MSHEREHESHAJI maarufu nchini na Staa wa filamu Dkt Cheni amesema dili la kusherehesha harusi ya mastaa wa Bongo Fleva Billnass na Nandy alipewa yeye baada ya kufanyika mchakato wa kupigiwa kura ambapo yeye ndiye aliyeibuka mshindi namba…
IKIWA ni siku chache baada ya mastaa wa Bongo Fleva, Faustina Charles Mfinanga maarufu kama Nandy na William Nicolaus Lyimo 'Billnass' kufunga ndoa, basi mzee mmoja ameibuka na kudai kuwa yeye ndiye baba mzazi wa Nandy.
…
RAIS wa klabu ya Yanga Injinia Hersi Said jana amekabidhi kadi za uanachama kwa Wasanii Faustina Mfinanga Maarufu Nandy na William Lyimo ambao jana walifunga pingu za Maisha.
Mbali na kadi hizo pia Injinia Hersi…
MWENYEKITI wa kamati ya harusi ya Nandy na Billnass iliyofanyika jana Julai 16, 2022, Steve Nyerere alisema kwamba harusi hiyo imegharimu kiasi cha shilingi za kitanzania bilioni 2 kwa ajili ya ukumbi, chakula, vinywaji n.k ukiachilia mbali…
Msanii Faustina Mfinanga almaarufu kama 'Nandy' amejikuta akitokwa na machozi ya furaha madhabahuni wakati akila kiapo cha ndoa leo Julai 16, 2022 ambapo amefunga pingu za maisha na msanii William Lyimo maarifu kama Billnass.
Ndoa…
Nandy The African Princess; ni msanii mkubwa wa kike nchini Tanzania ambaye anasema kuwa, amefikia hatua ya kuuanika ujauzito wake kwa sababu alichoka kumkana mwanawe kila alipokuwa akihojiwa.
Nandy au Mama Nenga anasema;…
IKIWA ni siku mojaa baada ya kuchaguliwa kwa msanii maarufu nchini, Steve Nyerere ibu ya kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Harusi ya wasanii wenzake, Billnas na Nandy, hatimaye Steve asiyeishiwa vituko amekuja na jipya.
Kupitia…
Nandy au The African Princes na Billnass au Nenga; ni wapenzi mastaa wakubwa wa muziki nchini Tanzania ambao wikiendi hii (kesho) wanatarajiwa kufunga ndoa ya chap kwa haraka; ya zimamoto.
Kwa mujibu wa familia ya…
Faustina Charles au Nandy na Wiliam Lymo au Bilnass au Nenga; ni mastaa wakubwa wa muziki nchini Tanzania ambao hayawihayawi sasa yanaenda kuwa kwani ndoa yao ni mwezi huu.
Wawili hao wamekuwa kwenye mahusiano kwa muda…
KARIBU kusikiliza kipindi pendwa cha burudani cha DSM FLAVOUR, Leo tumetembelewa na msanii wa bongo fleva Mimi Mars ambaye amefunguka mengi kuhusiana na muziki na mahusiano yake.. ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE:…
KWA kuweka kumbukumbu sawa ni kwamba Faustina Charles Mfinanga almaarufu Nandy; au Nandera amezaliwa Novemba 9, 1992 mjini Moshi, Kilimanjaro nchini Tanzania.
Nandy alianza kuimba akiwa na umri wa miaka 6 na alipofikisha…
Faustina Charles Mfinanga almaarufu Nandy; ni malkia wa muziki Afrika Mashariki ambaye anasema kuwa, umaarufu wake hauwezi kuwa na maana hata kidogo kama hawezi kuutumia hata nusu kwa aliji ya jamii yake kwa sababu hautakuwa na maana…
NANDY The African Princess; ni msanii bora wa muziki Afrika Mashariki ambaye ameamua kuwaweka sawa wale wote wanaodhani yeye anafanya kiki au labda kweli uhusiano wake na Billnass au Nenga umevunjika.
Hii ni baada ya siku za hivi…
FAUSTINA Charles au Nandy The African Princes; ni malkia wa muziki Afrika Mashariki akiiwakilisha vyema Tanzania ambaye anasema kuwa, hajawahi kugombana na staa mwenzake Bongo, Wema Sepetu Isaac Sepetu na wala hajawahi kumchukulia bwana…
NANDY au The African Princess ni malkia wa muziki Afrika Mashariki akitokea Tanzania ambaye ambaye amefunguka makubwa akilia upweke baada kuandika ujumbe kwenye ukurasa wa mchumba’ke, Billnass au Nenga akimtaka kurudi nyumbani haraka.…
KAMA wewe ni mtalii kwenye mitandao ya kijamii, pasi na shaka utakuwa umekutana na jina la Nandy ambaye ni supastaa na Malkia wa Bongo Fleva.
Nandy amedumu kwenye muziki na kufanya vizuri kwa miaka kadhaa kutokana na…
MSHEREHESHAJI maarufu nchini, MC Garab amesema amekuwa mbunifu siku zote katika kazi yake ili kuleta tija na kuzifanya sherehe anazoziendesha kuvutia na kuinekana za tofauti.
Akipiga stori na Global TV, MC Garab…
NANDY The African Princess ni mwanadada wa Kitanzania aliyejaaliwa kipaji kikubwa cha muziki na uigizaji. Kwa miaka kadhaa Nandy amejitengenezea umalikia wa Bongo Fleva kwenye ukanda huu wa Afrika Mashariki kutokana na nyimbo zake tamu…
MAJINA yake halisi ni Faustina Charles Mfinanga ila kwa wapenzi wa muziki wake wanamwita majina mengi kutokana na mambo anayoyafanya kwenye tasnia ya muziki wa Bongo Fleva. Wanamuita Nandy The The African Princess, Wengine wanamuita…
MALKIA wa Bongo Fleva, Nandy The African Princess anasema kwamba vikao vimeanza kwa ajili ya maandalizi ya tamasha lake la Nandy Festival 2022.
Nandy anasema kwamba, vikao vya kupanga mikakati ya tamasha hilo mwaka huu wa…
VIDEO Clip ya msanii Billnass akiwa anaonyesha begi lililojaa mpunga imekuwa ikisambaa mitandaoni huku kila mmoja akireact kivyake.
Kwa mujibu wa Mwijaku ni kuwa hali hiyo imemfanya msanii huyo aingiwe na hofu ya kudhuriwa…
NANDY au The African Princess ni malkia wa muziki Afrika Mashariki akiwa ni zao la Nyumba ya Kukuza VipajiTanzania (THT).
Ni mwimbaji, mwandishi wa nyimbo, balozi wa brandi mbalimbali, mfanyabiashara na ni mchumba wa Rapawa Bongo,…
Mwanamuziki mahiri wa muziki wa Bongo fleva, Faustina Charles Mfinanga, maarufu Nandy amekanusha madai ya kwamba ana ujauzito wa mpenzi wake msanii Billnass.
Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kukabidhiwa ubalozi…
BAADA ya msanii Maua Sama kuposti kunako Mtandao wa Twitter kwa kuandika; “Kwani ikitokea hujaimba Amapiano unaweza kufutiwa cheti cha usajili Basata? Au utapokonywa Nida na passport? Nipo zangu sehemu hapa nakunywa soda nasikiliza Zai,…
ZIPO kapo mbili za mastaa wa Kibongo ambazo zinatajwa zitakuwa ni pambe mno kwa mwaka 2022. Kapo hizo zinahusisha ile iliyonoga zaidi mwishoni mwa mwaka 2021 ya mrembo Nandy au The African Princess na jamaa yake, Billnass au Nenga.…