Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetambulisha rasmi huduma yake ya kidigitali ya ‘NBC Connect’ Visiwani Zanzibar. Huduma hiyo ya kisasa mahususi kwa makampuni pamoja na taasisi mbalimbali huwezesha huduma salama na haraka za kibenki…
Katika kuadhimisha miaka 47, ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama hicho, Taifa (MNEC), Mkoa wa Simiyu, Emmanuel Gungu Silanga, ametoa vitabu vya uongozi na Maadili ya Chama, Katiba na…
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (MNEC) Mkoa wa Simiyu, Emmanuel Gungu ametoa Pikipiki mbili kwa askari wa Wanyamapori katika Pori la Akiba Maswa kwenye Jimbo la Kisesa ili kusaidia kuongeza nguvu ya kuwadhibiti…
VYAMA vya siasa vimehimizwa kushiriki kwenye majaribio ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura yanayotarajiwa kufanyika katika Kata za Ng’ambo iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Tabora, Mkoa wa Tabora na Ikoma…
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imemteua Aziza Sleyum Ally kuwa Mbunge wa Viti Maalum wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Uteuzi huu ni kufuatia kujiuzulu aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum, Bahati…
JUMLA ya watahiniwa 1, 397, 370 wanatarajiwa kufanya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi utakaofanyika kesho Septemba 13 na 14 nchini kote.
Kati ya watahiniwa hao, 654,652 ni wavulana sawa na asilimia 46.85 na wasichana ni 742,718 sawa…
Arusha Julai 5, 2023: Taasisi na makampuni wateja wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) mkoani Arusha, wameipongeza benki hiyo kwa kuwapelekea huduma ya malipo kidigitali inayojulikana kama NBC Connect inayosaidia kuokoa muda na kuongeza…
RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Naibu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Benjamin Magai kuwa Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali.
Pia ameteua viongozi wengine wanne wakiwemo wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi…
Mwanza Mei 19, 2023: Makampuni pamoja na taasisi mbalimbali ambazo ni wateja wa Benki ya Taifa ya Biashara ya (NBC), sasa wanaweza kupata uzoefu mpya wa huduma za kibenki kupitia huduma ya NBC Connect, ikiwa ni ingizo jipya la huduma za…
MBEYA Mei 1, 2023: Benki ya Taifa ya Biashara ya (NBC) imezindua huduma ya NBC Connect, ikiwa ni ingizo jipya la huduma za kibunifu za kidijitali katika mkoa wa Mbeya.
Huduma hiyo ya kisasa ya kidigitali inalenga kuwezesha huduma…
BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA) limevifungia vituo viwili vya mitihani ambavyo ni Shule Sekondari Thaqaaf iliyoko Mwanza na Twibhoki iliyoko Mara baada ya kubaini ukiukwaji mkubwa wa taratibu za uendeshaji mitihani ya CSEE mwaka 2022.…
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Said Ally Mohamed kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania, kabla ya uteuzi huu Dkt. Mohamed alikuwa ni Mkurugenzi wa Huduma za Ufundishaji, Mafunzo na Mitihani,…
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya upimaji wa kitaifa wa darasa la nne na kidato cha pili kwa wanafunzi waliofanya mtihani mwaka 2022.
Akitangaza matokeo hayo Kaimu Katibu Mtendaji wa NECTA, Athumani…
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) leo Desemba 1, 2022 limetangaza matokeo ya darasa la saba kwa mwaka 2022 ambapo limetangaza kufuta matokeo yote ya Watahiniwa 2194 sawa na asilimia 0.16 ya Watahiniwa 1,350,881 waliofanya…
Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limezuia matokeo ya watahiniwa 540 kutoka vituo sita vya mitihani ndani ya jiji la Dar es Salaam baada ya kugundulika kufanya udanganyifu.
Wanafunzi hao wanatoka katika vituo vya…
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) leo Desemba 1, 2022 limevifungia vituo vya mitihani 24 sawa na asilimia 0.13 ya vituo vyote 17,935 vilivyofanya mtihani ambavyo vimethibitika kupanga na kufanya udanganyifu katika mtihani wa…
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muunganio wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Novemba 13, 2022 ameongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, kilichofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri Kuu ya…
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza kufuta ada ya mtihani kwa watahiniwa wa darasa la saba, kidato cha nne na sita wa shule za Serikali, huku wanafunzi wa shule binafsi watakuwa wanaendelea kulipa.
Naibu Waziri wa Elimu,…
IRENE UWOYA; ni supastaa wa Bongo Movies ambaye amekuwa mwathirika mwingine wa kusambaa kwa video zake za ngono (connections).
Hata hivyo, licha ya kudhalilishwa na kugeuka mada kuu hadi kwa watu wenye heshima zao, Uwoya…
POST
ARTISAN -ROUGH NECK - 12 POST
EMPLOYER
Tanzania Geothermal Development Company Limited (TGDC)
APPLICATION TIMELINE:
2022-07-23 2022-08-05
JOB SUMMARY
NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To receive…
BARAZA la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha sita na ualimu kwa mwaka 2022 .
Matokeo hayo yametangazwa na Necta leo Julai 5, 2022.
YASOME HAPA MATOKEO YA UALIMU
JUMLA ya watahiniwa 95,955 kutoka shule za sekondari 841 na vituo vya kujitegemea 250 wanatarajia kuanza mitihani yao ya kumaliza kidato ya sita kesho Jumatatu Mei 9, 2022 na kumaliza Mei 27.
Pia watahiniwa 9,670…
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) leo Jumamosi, Januari 15, 2022 limetangaza matokeo ya mtihani wa taifa wa kidato cha nne uliofanyika Novemba 2021.
Matokeo hayo yametangazwa na Katibu Mtendaji wa Necta, Dk. Charles…
Rais Samia Suluhu Hassan, amemteua Jaji Jackob Mwambegele kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), akichukua nafasi ya Jaji Semistocles Kaijage ambaye amemaliza muda wake.
Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa…
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Novemba 7, 2021 ameongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa iliyokutana Ikulu,…
BARAZA la Mitihani la Taifa Tanzania (NECTA), leo Jumamosi, Oktoba 30, 2021 limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi 2021 (Matokeo ya Darasa la Saba mwaka 2021 ambapo watahiniwa 907,820 kati ya milioni 1.2 waliofanya…
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), leo Jumatatu, Oktoba 18, 2021 imetangaza ratiba ya uchaguzi mdogo wa ubunge katika Jimbo la Ngorongoro mkoani Arusha, unaotarajiwa kufanyika Desemba 11, 2021 kuziba nafasi iliyoachwa wazi kufuatia kifo…
The Background on the National Electoral Commission of Tanzania
In 1991 the then President of the United Republic of Tanzania, His Excellency Ali Hassan Mwinyi appointed a commission under the Chairmanship of the late Chief Justice…
TUME ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza kuwepo kwa nafasi mbili za Ubunge katika majimbo ya Konde mkoa wa Kaskazini Pemba na Ushetu mkoani Shinyanga.
Akizungumza na Vyombo vya habari leo tarehe 27 Agosti 2021, Mkurugenzi wa…
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imewateua madiwani watatu wanawake wa viti maalum, kuziba nafasi zilizokuwa wazi kutokana na vifo vya madiwani wa halmashauri hizo.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa…
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Samia Suluhu Hassan leo Juni 29, 2021 amefungua Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi NEC, kilichokutana katika Ukumbi wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Jijini Dodoma.…
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevitaka vyama vya siasa, wagombea na wadau wa uchaguzi kuepuka kujihusisha na matukio yenye viashiria vya uvunjifu wa amani kwani jukumu la kulinda amani ni la kila mwananchi, hivyo wahakikishe…
Taarifa imetolewa kwamba chanjo za corona (Covid-19) zilizotumwa kwa nchi 13 barani Afrika zimepita tarehe ya mwisho ya matumizi, lakini bado zinaweza kutumiwa kwa kuwa muda wake halisi wa matumizi ni miezi 3 zaidi.
…
KIONGOZI wa juu wa Shirika la Dawa nchini Denmark ameanguka na kupoteza fahamu wakati Serikali ikitangaza kusitisha kuwapa wananchi wake chanjo ya AstraZeneca, dhidi ya Covid-19 Jumatano, Aprili 14, 2021.
Kipande cha…
Naibu Rais wa Kenya, William Ruto, ametetea uamuzi wake wa kutumia chanjo ya Sputnik-V badala ya AstraZeneca kama serikali yao ilivyoelekeza.
Naibu Ruto amesema hakupata mualiko wakati wa harakati ya chanjo kwa maafisa wa…
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amesema amepata chanjo ya #COVID19 ya Astrazeneca alipokuwa nje ya nchi kibiashara.
Akizungumza na vyombo vya habari jana Jumapili,…
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imefanya mabadiliko ya uchaguzi mdogo wa Ubunge katika majimbo ya Muhambwe na Buhigwe mkoani Kigoma pamoja na kata 18 Tanzania Bara, ambao sasa utafanyika tarehe 16 mwezi Mei mwaka huu badala ya tarehe 2…