Tags:
DITTO AFUNGUKA NGOMA ZAKE KUBUMA
BAADA ya ngoma zake mbili alizotoa hivi karibuni kudaiwa kubuma, staa wa Wimbo wa Moyo Sukuma Damu, Lameck Ditto ‘Ditto’ amefunguka kuwa habari hizo siyo za kweli, kwani kwa upande wake anaona ziko vizuri.
Akichonga na…
Ditto Afunguka Kutajwa na Makonda Ishu ya Madawa
Msanii wa Bongo fleva anayefanya vyema na ngoma yake ya 'Moyo Sukuma Damu', Lameck Ditto amefunguka na kusema yeye hahusiki na biashara ya dawa za kulevya wala matumizi ya dawa za kulevya na kusema kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,…
Ditto Kumtoa Afande Selle 2017
Lameck Ditto (kushoto) akiongea na Mhariri Mtendaji wa Global Publishers, Saleh Ally (kulia).
Mkali wa Bongo Fleva anayetikisa kwa sasa na wimbo wake ‘Moyo Sukuma Damu’, Lameck Ditto, amesema yupo katika mchakato wa kurudisha utaratibu…
Ditto: Moyo Sukuma Damu ni ‘Idea’ ya Miaka Miwili
Msanii wa kizazi kipya anayesumbua kwa sasa na ngoma yake mpya ya Moyo Sukuma Damu, Lameck Ditto leo katika mahojiano na Global Tv Online, amefunguka kuwa idea ya wimbo huo aliihifadhi kwa miaka miwili kichwani.
Lameck Ditto akiwaStudio…
Ditto afungukia Moyo Sukuma Damu
ANDREW CARLOS
MMOJA kati ya wakongwe wa Muziki wa Bongo Fleva, Lameck Ditto ameifungukia ngoma yake ya Moyo Sukuma Damu kuwa ni sanaa tu na wala haijamlenga mtu yeyote.
Akizungumza na Global Publishers, Ditto aliyewahi kuwika na vibao…
Zuchu Kutamba Siyo Bure Akitoa Ngoma Mwalimu wake Mondi Anakaa chini Kusikiliza
Kuna watu wapo kwa ajili ya kukupa moyo kwenye maisha ya kipaji. Wao watakusifia kuwa unaweza. Watakuambia wewe ni mkali sana na kwenye ‘gemu’ lazima utoboe.
Hata hivyo, wengi wao huwa ni ‘chawa’ tu kama inavyofahamika siku hizi.…
Marioo Afunguka Mazito “Mimi na Mondi Tunaliamsha Muda Wowote”
MUZIKI ni ajira, lakini pia ni biashara kubwa ndiyo maana nchini Nigeria wanaichukulia serious tofauti na wengi wanavyoiona!
Kila mwaka wanazaliwa wasanii wapya ambao wanakuja kuwa wakubwa na kukimbiza ndani na…
Marioo: Mwaka 2022 Tuzo Zitakuwa Za Kutoshaza
MUZIKI ni ajira, lakini pia ni biashara kubwa ndiyo maana nchini Nigeria wanaichukulia serious tofauti nawengi wanavyoiona!
Kila mwaka wanazaliwa wasanii wapya ambao wanakuja kuwa wakubwa na kukimbiza ndani na nje ya nchi…
Marioo Alianzia kwa Mama Ntilie Hadi Kuwa Staa
MIONGONI mwa wasanii wa muziki wa Kizazi Kipya walioliteka anga la Bongofleva hapa nchini ni Marioo. Haikuwa ajabu kuona Simba Sports Club ikimtumia msanii huyu kwenye tamasha la Simba Day kwani ukiwasha runinga yako au akisikiliza…
Mtoto wa Harmonize Azua Balaa Zito!
DUNIA ina mambo kama alivyowahi kuimba mwanamuziki Seleman Msindi ‘Afande Sele’ akishirikiana Lameck Ditto, Gazeti la IJUMAA WIKIENDA linakuletea kasheshe la utata wa mtoto aliyedaiwa kuwa ni wa staa wa Bongo Fleva, Rajab…
Video: Chimbuko La Bongo Fleva Kwenye ‘Old Is Gold’ | Global Radio
KIPINDI cha Bongo 255 kinachoruka kupitia Global Radio, Mei 14, 2020 kimepiga stori na Mhariri Mtendaji wa Global Publishers, Saleh Jembe, kuhusu chimbuko la Bongo Fleva.
Amenukuliwa akisema kukosa umoja baina ya wasanii wa Bongo…
MARIOO ANAVYOPINDUA BONGO FLEVA
MUZIKI ni ajira lakini pia ni biashara kubwa ndiyo maana nchini Nigeria wanaichukulia ‘serious’ tofauti na wengi wanavyoiona! Kila mwaka wanazaliwa wasanii wapya ambao wanakuja kuwa wakubwa na kukimbiza ndani na nje ya nchi ndiyo maana…
YANAYOJIRI GYMKHANA BUKOBA KWENYE MAZISHI YA RUGE – PICHAZ
MWILI wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media, marehemu Ruge Mutahaba umeagwa katika ibada maalum iliyofanyika kwenye viwanja vya Gymkhana Bukoba mkoani Kagera.
Viongozi mbalimbali wamejitokeza kuaga…
DARASSA KAZIMA, KAPOTEA AU KAPUMZIKA?
Maisha na muziki, acha maneno weka muziki,
Ukiwa sad ukiwa happy,
Ukiwa juu ukiwa chini piga muziki,
(Yeeeeah)
Safari na muziki, acha maneno weka muziki,
(Yeeeah)
Kila unachopenda na ukitaka kucheza cheza muziki...…
Walishtuka Wakasepa, Wakatusua
MVUTO wa makundi mengi yanayofanya Bongo Fleva umekuwa ukipungua kila siku huku namba ya wasanii ambao wanafanya muziki wa peke yao (solo artist) ikiongezeka.
Ongezeko hilo linaifanya tasnia hiyo kuwa na ushindani mkubwa…
KWA HILI LA EMMA THE BOY, WASANII WA BONGO FLEVA NIMEWAPAKA MATOPE!
`Nilishangazwa sana na ukimya wa wasanii wa Bongo fleva juu ya sakata la kupotea kwa Prodyuza wa THT, Emma The Boy, ambaye alipotea kwa takribani siku tano ila kwa sasa ameshapatikana, lakini cha ajabu wasanii wa Bongo fleva walikaa kimya,…
Mashabiki Walonga na Championi, Waifungukia Yanga na Simba
NAWAPONGEZA sana Championi kwa juhudi zenu za kutuhabarisha ila ushauri wangu kurasa zote naomba ziwe za rangi siyo kuweka kwenye baadhi ya kurasa.
Nelly Kazimili, Buhongwa, Mwanza.
••••••••••••••••••••••••••••••••…
Vilio vya Mastaa kwa Wanafunzi Waliokufa Arusha
Arusha Ilivyozizima Miili ya Wanafunzi Waliokufa kwa Ajali Ikiagwa
MAJONZI yamegubika nchi nzima kufuatia tukio la kihistoria la ajali ya basi lililosababisha vifo vya wanafunzi 33, walimu wawili na dereva iliyotokea Karatu mkoani…
Ni Wikiendi ya Mtikisiko Dar Live
IJUMAA | SHOWBIZ
WIKIENDI hii pale kwenye Uwanja wa Taifa wa burudani wa Dar Live uliopo Mbagala jijini Dar patakuwa hapatoshi kufuatia kuwepo kwa shoo zilizoongozana.
Hii ina maana kwamba, kesho (Jumamosi) Bendi ya Jahazi Modern…
Jahazi Kulisimamisha Jiji
NA MWANDISHI WETU | SHOW BIZ
Bendi ya Jahazi Modern Taarab ikiongozwa na mastaa wake, Leila Rashid, Amigo, Mwasiti Kitolonto, Ally J, Fatuma Kassim na wengine kibao imepania kulisimamisha Jiji la Dar katika onesho kabambe…
Mabinti wa Hip Hop Wasibaniwe, Watoboe!
KWA sasa huwezi kutaja maendeleo ya muziki wa kuchana kwa kinadada bila kumtaja mwanadada Onika Maraj ‘Nicki Minaj’.
Nicki ambaye unaweza kusema ndiye ‘top’ wa Muziki wa Hip Hop kwa sasa ulimwenguni amefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana…
Picha za Red Carpet: Love Melodies and Lights Event, Leaders Club
Mtangazaji na msherehejazi Perfect Crispin.
Gigy Money na baby wake, Mo J
Bushoke akikamuaa Kwenye red carpet
Idris kwenye red carpet
Feza Kessy naye alikuwepo..
Quick Rocker alivyotokelezea.
Dyna Nyange akiwa Live,…
Recho: Umesifiwa kukimbia Mpaka Ukapitiliza Kwenu
STORI: HASHIM AZIZ | AMANI | MAKALA
“...Kutenda kosa siyo kosa kurudia kosa ndiyo kosa, ahsante kwa kunielewa aaaah! Nikitenda tena yaleyale, usinisamehe, usinisamehe! Nikirudia tena yaleyalee... usinisamehee... nashukuru…
Simba Azam Moyo Sukuma Damu
Na Ojuku Abraham | GAZETI LA IJUMAA
KIBAO kipya cha msanii Lameck Ditto anayefahamika zaidi kama Ditto, ambaye yupo katika Jumba la Kukuza Vipaji (THT) kiitwacho Moyo Sukuma Damu, ndiyo habari ya mjini kwa sasa.
Na ameweka wazi kabisa,…
Wakongwe Hawa wa Bongo Fleva Wamerudi Tena
Pichani ni mashabiki wa muziki wa Bongo Fleva.
KATIKA maisha kuna wakati binadamu anakuwa chini na wakati mwingine juu, unaweza ukamdharau mtu leo, kesho ukashangaa anakuwa tofauti kabisa na mategemeo yako.
Hivyo hivyo katika ulimwengu…
Moyo Sukuma Damu: Hazina Iliyofichwa Maktaba Mwaka Mzima!
Mhariri wa Gazeti la Risasi Jumamosi, Erik Evarist (wa kwanza kulia) akimuonyesha Lameck Ditto (katikati) utengenezaji wa gazeti la Championi kwa msanifu kurasa, Noel.
Makala: Erick Evarist, Gazeti la Risasi Jumamosi, Toleo no. 1393,…
Hawa Ndiyo Walibebwa na Kolabo Wakatusua Bongo
KILA msanii huwa na njia zake za kupita kabla ya kuja kutusua na kuteka mashabiki. Kuna wale ambao wametoka wakiwa wenyewe kwenye nyimbo zao na wale wengine ambao wametumia migongo ya wenzao kuweza kutesa.
Suala la msanii mmoja…
Top 10 Ya Nyimbo Zinazokimbiza Maisha Basement, Kuchezwa Live leo Maisha Zote
1. Lameck Ditto - Moyo Sukuma damu
2. Darassa ft Ben Pol - Muziki
3. Mwana Fa Ft Vanessa Mdee - Dume
4. Belle 9 Ft. G Nako - Give It to Me
5. Mavoko Ft. Diamond Platnumz - Kokoro
6. Vanessa Mdee - Cash Madame
7. Ommy Dimpoz Ft.…
Video Review: Moyo sukuma damu, bonge la video lakini kuna dosari chache
Katika Gazeti la Amani, kuna kolamu inayoitwa Video Review na wiki hii, video inayochambuliwa ni ngoma mpya ya Ditto aliyoipa jina la 'Moyo Sukuma Damu'.
Sehemu ya vipande vya video hiyo
Soma mwenyewe hapa umsikie anasemaje!…
Pichaz: Funga Mwaka Ilivyonoga Escape One
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Ally Hapi ambaye alikuwa Mgeni Rasmi kwenye shughuli hiyo akihojiwa na wanahabari kabla ya kuingia ndani ya ukumbi wa Escape One.
Msanii Bushoke akitumbuiza jukwaani, mwanzoni kulia ni msanii…