VIDEOMPYA: Linex Afurahia Familia Na Akothee ‘Baraka’
Itazame video mpya ya Akothee na Linex toka Tanzania, wameileta video ya wimbo wao mpya Baraka.
Video imetengenezwa na One Montage Film.
TAZAMA VIDEO HAPA
VIDEO MPYA:Linex, Lady Jay Dee Kwenye ‘Too late’
Komando Lady Jaydee amepata nafasi ya kushiriki kwenye wimbo mmoja wa too late na msanii Linex toka Kigoma.
Video imeongozwa na Ivan.
Tumekuwekea hapa video mpya zinazofanya vizuri kwa…
Lady Jaydee, Linex Kwenye Wimbo Mpya ‘Too Late’ Sikiliza Hapa
Mwanadada Judith Wambura maarufu kama Lady Jaydee ameshirikishwa na Linex kwenye wimbo mpya wa Too Late.
Wimbo umetengenezwa na Tonny Drizzy.Download chini baada ya kusikiliza kama umeupenda.Enjoy
…
LINEX AFUNGUKA KUPORWA MTOTO WAKE
MKALI wa Bongo Fleva, Sunday Sangu ‘Linex’ amefungukia kinachomuumiza kwa sasa ni kitendo cha kunyang’anywa mtoto na mzazi mwenziye.
Akizungumza na Mikito Nusu Nusu, Linex alisema kuwa hajamuona mtoto wake huyo wa kiume takribani…
Linex afungukia kupotezwa na ulevi
MSANII wa Bongo Fleva, Sunday Mangu ‘Linex’, ameibuka na kufungukia tetesi zinazozagaa dhidi yake kuwa ulevi ndiyo umempoteza kimuziki na kusema siyo kweli bali wanaozungumza hivyo ni wabaya wake ambao hawana nia nzuri kwake.…
Linex MUZIKI NA TUMBAKU NDIYO MAISHA YANGU
UKITEMBELEA katika viunga vya Mkoa wa Kigoma leo, ukauliza watu maarufu wanaopendwa mkoani humo pasi na shaka utajibiwa majina matatu, Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe, mchekeshaji Baba Levo na mwanamuziki aliyezaliwa…
Linex: Kiki Zinaua Muziki
MSANII wa Bongo Fleva anayetikisa kwa sasa na wimbo wake Kiherehere, Sunday Mangu, ‘Linex’, amefunguka kupitia akaunti na kudai kuwa muziki mzuri unapotea ama unakufa kwa uwepo wa kiki (Skendo).
Akipiga stori na mwandishi wa mtandao…
Linex Kusherekea Siku Yake ya Kuzaliwa kwa Staili Hii
MSANII wa Muziki wa Bongo Fleva anayefanya poa kwa sasa na ngoma yake ya Kiherehere, Sunday Mangu ‘Linex’, anatarajia kufanya sherehe ya kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa leo pamoja na watoto yatima.
Linex amefunguka kuwa kila ifikapo…
Linex Akaribia Kuitwa Baba…
Hellen Seriko mchumba wa Linex (Mjamzito)
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva anayefanya poa kwa sasa na ngoma yake ya Kiherehere, Linex, amefunguka kuwa yupo mbioni kuitwa baba baada ya mpenzi wake, Hellen Seriko kubeba ujauzito ambapo…
Linex Kutoa ‘Yaongeze’ kwa Mashabiki Siku ya Bethidei Yake
Sunday Mangu 'Linex'
STAA wa Bongo Fleva na mkurugenzi wa Voice Of Africa (VOA) anayetikisa na ngoma yake ya ‘Kiherehere’, Sunday Mangu ‘Linex’ anatarajia kusheherekea siku yake ya kuzaliwa Februari 14 kwa aina yake.
Sunday Mangu…
Linex amfungukia video queen wake!
Erycah
IMELDA MTEMA
STAA wa Bongo Fleva anayetikisa na Ngoma ya Hewala, Sunday Mangu ‘Linex’ kwa mara ya kwanza amemfungukia aliyekuwa mpenzi na video queen wake, Ericka Daniel ‘Erycah’ kuwa amlaumu kwa kumuacha.
Sunday Mangu ‘Linex’…
Baraka Da Prince ampoza Linex
Barakah Da Prince
Nyemo Chilongani
Mwanamuziki anayekuja kwa kasi kwenye Muziki wa Bongo Fleva, Barakah Da Prince ameamua kumpoza mwanamuziki mwenzake, Sunday Mjeda ‘Linex’ baada ya stori kuenea mitandaoni kwamba alivunja amri ya sita na…
King Kiki: Linex, Bella wapo juu
Christian Bella
Na Elvan Stambuli, Risasi Jumamosi
Ngwiji wa Muziki wa Dansi nchini, Kikumbi Mwanza Mpango ‘King Kiki’ amesema wanamuziki wawili mahiri nchini, Linex na Christian Bella wapo juu kutokana na uwezo wao wa kuimba.
Ngwiji wa…
Linex ‘ndoa’ yake yasengenywa
Mwanamuziki Linex.
Juzikati zilivuja picha zikimuonesha Mwanamuziki Linex akiwa kama vile amefunga ndoa na bonge la msichana.Picha hizo ziliwafanya watu kuhisi aidha jamaa ana ngoma anaifanyia kichupa au amefunga ndoa kwa siri.
Cha…
Linex kulamba shavu Sweden
Mkali wa Bongo Fleva Sunday Mjeda ‘Linex’.
DEOGRATIUS MONGELA
MSANII wa Muziki wa RnB, Mtanzania mwenye maskani yake nchini Sweden, Khairat Carlo Omar, ’Dati’ amemshirikisha kwenye songi lake Mkali wa Bongo Fleva Sunday Mjeda ‘Linex’…
Tamasha la Airtel Wasafi Festival 2023 Lawapagaisha Wakazi wa Ruangwa
LIKIWA katika onyesho lake la pili, baada ya Mtwara, Tamasha la Airtel Wasafi Festival linalodhaminiwa na Kampuni ya Simu za Mkononi ya Airtel limeendelea kuonesha kuwa ni moto wa kuotea mbali baada ya safari kuutikisa mji wa Ruangwa…
Wasanii Waliovishwa Kofia na JPM Hadi Sasa, Hawa Hapa…
MGOMBEA urais kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli ameendelea na utaratibu wa kuwavisha kofia wasanii wanaotumbuiza kwenye kampeni za chama hicho.
Leo ilikuwa ni zamu ya msanii…
Dianmond Kufanya Kufuru ya Funga Mwaka!
HII ni zaidi ya shoo ya kufunga mwaka! Ukiachana na shoo yake kukusanya mastaa wengi kuliko, siri ya mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuwakusanya mastaa maadui zake katika jukwaa la Wasafi,…
JIDE YAMKUTA YA GIGY MONEY
DAR ES SALAAM: BAADA ya kutupia picha zake tata mtandaoni, mkongwe wa Bongo Fleva, Judith Wambura ‘Jide’ yamemkuta majanga yaliyowahi kumkuta msanii Gift Stanford ‘Gigy Money’ ya kuchongewa kwa Baraza la Sanaa la Taifa (Basata).
Jide…
Ebitoke, Dk Shika Waiteka Dar Live (Pichaz + Video)
Dk Shika akiongea na wananchi katika usiku wa '900 Itapendeza' uliofanyika katika ukumbi wa burudani wa Dar Live Mbagala-Zakhem, jijini Dar usiku wa kuamkia leo.
...Akitambulishwa kwa mashabiki na mmoja wa waandaaji…
Usiku wa ‘900 Itapendeza’ Waiteka Dar Live
Usiku wa '900 Itapendeza' uliofanyika usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Dar Live, uliohudhuriwa na Dkt. Louis Shika kwa ajili ya kuongea na wananchi kuhusu utajiri wake na mchakato wa dhamira yake ya kununua nyumba za…
Combination ya Dk Shika na Ebitoke Usiku wa 900 ITAPENDEZA (Video)
WAKAZI wote wa jiji la Dar es Salaam, wametakiwa kukaa tayari na kujiandaa kwa Tamasha kubwa litakalofanyika usiku wa Desemba 9, 2017, katika ukumbi wa Taifa wa Burudani Dar Live, ambalo ni maalum kwa ajili ya Dkt Louis Shika, ambaye…
WAKALI WA SINGELI, BONGO FLEVA WALIVYOKINUKISHA FUNIKO CONCERT
Wapenzi wa burudani, Ijumaa iliyopita walishuhudia onesho kali la aina yake lililotambuliwa kama Funiko Cencert lililofanyika kiwanja cha taifa cha burudani cha Dar Live kilichopo Mbagala Zakhem…
Joh Makini, Barnaba Kuongoza Wakali 25 Dar Live
MKALI wa Muziki wa Hip Hop, Joh Makini pamoja na mkali wa miondoko ya Zouk Rhumba, Barnaba wanatarajiwa kuongoza wakali 25 ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala - Zakhem jijini Dar.
Akizun-gumza na Risasi…
Mastaa 7 Bongo Wachuana Kwa Mitungo ya Ngono
BAADHI ya mastaa Bongo wamekuwa na tabia ya kubadilisha wanaume baada ya muda mfupi wanapokuwa nao kwenye uhusiano wa kimapenzi kitu ambacho kinaleta picha tofauti kwenye jamii ambayo wanawaangalia wao kama kioo cha jamii na kuwafanya…
Uzuri, U-Mcharuko, Shepu za Video Queen Vimewabeba Kwenye Vichupa
ILI video ya muziki iwe nzuri zaidi inahitaji wauza sura ‘video queens’ ambao wataibeba. Tumezoea kuona video nyingi za nje ya Afrika zikiwa na video queen zaidi ya mmoja.
Lakini katika Muziki wa Bongo Fleva zipo video nyingi ambazo…
Kigoma All Stars Gari Limeishiwa Mafuta au Dereva Amesinzia?
BRIGHTON MASALU | RISASI MCHANGANYIKO | MAKALA
ALHAMISI mchana. Wingi wa watu hususan vijana wakiwa kimya kabisa, unanipa hamasa ya kutaka kujua nini kinaendelea. Lengo la kwenda kwenye saluni hiyo, ni kunyoa lakini nakutana na picha…
Supu ya Kichwa cha Samaki
LEO tutaongelea jinsi ya kupika supu ya kichwa cha samaki, inaweza kuwa aina yoyote ile ya samaki. Kuna wasiopenda kichwa lakini supu nzuri sasa niwaeleze inatoka kwenye kichwa. Basi nikwambie tu katika kichwa cha samaki kuna supu…
Ishu ya Madawa ya Kulevya Imezima Ngoma Hizi…
Na ANDREW CARLOS| IJUMAA WIKIENDA| OVER ZE WEEKEND
ZIMESHAPITA wiki mbili sasa tangu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kutangaza vita dhidi ya watumiaji na wahusika wa madawa ya kulevya huku akitaja majina ya wanaotuhumiwa…
Marafiki Walinikimbia Baada ya Kukaa Kimya Kwenye Muziki
Linex Sunday Mjeda
MSANII wa Bongo Fleva kutoka Voice Of Africa (VOA), Linex Sunday Mjedaa, wiki hii ametupa karata yake nyingine baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu. Akifanya mahojiano na vituo mbalimbali vya redio, Linex alisema …
Shilole Afanya Birthday Ya Nguvu
Stori: Musa Mateja | Global TV
Msanii wa filamuna muziki wa kizazi kipya, Zuwena Mohamed Shilole, jana alifanya birthday ya nguvu katika Ukumbi wa Next Door, Masaki jijini Dar es Salaam, ambapo alikuwa akitimiza umri wa miaka 28,…
Ma Modo 10 Waliosumbua 2016
Hamisa Mobeto
Na Mwandishi Wetu|Gazeti la Ijumaa
Kwenye ulimwengu wa burudani, wapo wadada wanaofahamika kwa jina la Video Queen. Kwa hapa Bongo wapo kibao lakini katika kufunga mwaka IJUMAA linakuletea mamodo 10 waliokuwa gumzo kwa…
Hii Ndiyo Foleni Kubwa ya Magari Kuwahi Kutokea Duniani
Video ya foleni ndefu ya magari Kusini mwa Jimbo la California nchini Marekani imevuma sana mtandaoni, wengi wakisema huenda ndiyo foleni mbaya zaidi kuwahi kutokea duniani.
Video hiyo ilipigwa kwa kutumia helikopya ya shirika la habari…
Pesa zinawatia ‘uchizi’ wadada hawa
NDANI ya tasnia ya burudani Bongo, kwa sasa imevamiwa na wingi wa wasanii, wauza sura na wanamitindo wapya ambao wamejipatia umaarufu ndani ya muda mfupi hasa kutokana na kukua kwa kasi kwa mitandao ya kijamii.
Wakiitumia mitandao hiyo…
Fid Q, AY, Msagasumu Wafunika Dawati Concert
Mwanamuziki wa Hip Hop Bongo, Fid Q ambaye jana ilikuwa siku yake ya kuzaliwa akiimba baadhi ya ngoma zake na mashabiki waliofurika kuwasapoti wanafunzi wa Handeni kukalia madawati.
Mashabiki wakiwa wamepagawa na burudani kutoka kwa…
Dawati Concert… AY, FA, Ben Pol kukiwasha Dar Live leo
Ambwene Yessaya 'AY'
WAKALI kibao wanaokimbiza kunako Muziki wa Bongo Fleva wakiongozwa na AY, MwanaFA, Ben Pol, Barnaba wanatarajiwa kuangusha bonge la shoo lililopewa jina la Dawati Concert leo ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar…
Picha za Red Carpet Ya Usiku wa Hawala Maisha Basement
Dj Skadi wa Maisha Basement akifanya mahojiano na Global TV kwenye red carpet ya Usiku wa Hawala jumapili ya juzi Maisha Basement .
Msanii wa Bongo Fleva, Linex akifanya yake.
(PICHA; GLOBAL TV /GPL)
Nape Azindua Filamu Ya Sikitu!
Waziri Nape Nnauye akiongea jambo kabla ya kuizindua filamu ya Sikitu, ndani ya ukumbi wa sinema uliopo ndani ya Jengo la Quality Center jijini Dar es Salaam.
Muandaaji wa filamu hiyo, Kajala Masanja (wa pili kutoka kulia), akiingia…
Erycah aifungukia siku yake ya kwanza faragha
WIKI hii kwenye safu yetu ya 10 Questions tunaye video queen anayekuja kwa kasi Bongo, huyu si mwingine bali ni mwanadada anayefahamika kwa jina la Ericka Daniel Moshi ‘Erycah. Anafunguka mambo mbalimbali kupitia maswali aliyoulizwa na…