Video: Man Fongo, Msaga Sumu, Mzee wa Bwax Uso kwa Uso Dar Live
WANAMUZIKI wa singeli, Man Fongo, Mzee wa Bwax, Msaga Sumu na Malkia Mimah wanatarajiwa kufanya bonge la shoo katika tamasha la Jiji Concert litakalofanyika Jumamosi ya Agosti 22, katika Uwanja wa Taifa wa Burudani DAR LIVE Uliopo Mbaga…