Wemi TZ Yagawa Barakoa Bure Kwa Yatima, Bodaboda
Taasisi ya Worship Empowerment Ministry Tanzania (WEMI TZ) jana imegawa vifaa vya kuzibia mdomo 'barakoa' katika vituo vya watoto yatima vya Umra, Al-Madina na Sifa Group Foundation vilivyoko Vikawe Bagamoyo mkoani Pwani na baadhi ya…