Nyota wa Yanga Aibukia Zesco, Apishana na Kocha wa Yanga
DAVID MOLINGA, mshambuliaji wa zamani wa Yanga, anasemekana amejiunga na Klabu ya Zesco United ya Zambia iliyokuwa inanolewa na Kocha Mkuu, George Lwandamina.
Lwandamina aliibukia Zesco United baada ya kushindwana na mabosi…