The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Shilole

Shilole: Jokate anajua nilikotoka

STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ameeleza kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo anajua alikotoka ndiyo maana amekuwa akisapoti kazi zake. Akibonga na Amani, Shilole alisema Jokate ni mtu anayemjua tangu…

NUH Afungukia Kubebwa na Shilole

MWANAMUZIKI Naftar Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ ambaye aliwahi kufanya vizuri sana kupitia wimbo wake wa Jike Shupa aliomshirikisha mkali Ally Saleh Kiba ‘AliKiba’ ameeleza sababu ya kupotea kwenye muziki kwa takriban miaka miwili. …

Shilole atangaza vita na unene!

DAR: Mwanamama kutoka Bongo Flevani ambaye ni Mkurugenzi wa Mgahawa wa Shishi Food, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ametangaza vita rasmi na unene. Baada ya kusemwa sana mitandaoni na mitaani kuwa amenenepeana kupita kiasi na kupoteza…

Shilole Humwambii Kitu Kwa Mapishi!

MAMBO vipi mpenzi msomaji wangu wa kolamu hii nzuri ya My Style? Hapa kazi ni moja tu; kuzungumza na mastaa mbalimbali kuhusiana na aina ya maisha yao wanayoishi kila siku ambayo naamini mpenzi msomaji wangu utapenda kuyafahamu. …

Shishi ampa Kiba somo la ndoa

WAKATI msanii Ally Saleh Kiba ‘AliKiba’ ndoa yake ikiwa inapumulia mashine kutokana na migogoro, mrembo kutoka Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shishi’ amempa somo la ndoa msanii huyo kwa kumwambia ndoa inaongozwa na upendo.  Shishi…

Wolper, Shilole waibua zogo!

MASTAA wawili Bongo, Jacqueline Wolper Massawe na Zuwena Mohammed ‘Shilole’ wameibua zogo la aina yake, kisa kikiwa lugha ya Kingereza. Tukio hilo lilijiri usiku wa kuamkia Jumanne wiki hii ambapo mastaa mbalimbali wa filamu za…

Shilole Ubonge Umembadili Jina

Chibonge! Staa wa filamu na Bongo Fleva ambaye pia ni mpishi wa madikodiko, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amesema ubonge umemfanya abadilishiwe jina na kuitwa mjamzito. Akizungumza na Gazeti la Ijumaa, Shilole au Shishi Baby…

KISA PIERRE SHILOLE YAMKUTA

YAMEMKUTA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya msanii wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ kujikuta akishambuliwa kwa maneno makali na wananzengo kutokana na kauli yake ya kumuita Piere kuwa ni mtu wa hovyo. Shilole…

MASTAA WAMPONGEZA SHEMEJI YAO UCHEBE!

MASTAA wa filamu Bongo, Jacob Steven ‘JB’, Steven Mengele ‘Nyerere’ na Single Mtambalike ‘Richie’ wamem­pongeza shemeji yao, mume wa msanii mwenzao Zuwena Moham­med ‘Shilole’, Ashiraf Uchebe kwa kumbadili na kumuweka kwenye maadili ya…