The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

wema

Shepu Za Sajari Zatikisa Bongo

WAKATI msanii wa Bongo Movies, Rose Alphonce almaarufu Muna Love akimrudia Mungu wake na kumuomba toba kwa kile alichokifanya huku akienda mbali zaidi kwa kuwasihi watu wasifanye sajari, hatimaye shepu hizo bandia, zinazidi kutikisa…

Wema: Hebu Mniache

SUPASTAA wa Bongo Movies, Wema Sepetu wengi wanamfahamu kama mpenzi wa zamani wa Diamond Platnumz. Baadhi ya wafuasi mitandaoni wamekuwa wakimkejeli Wema kwa kutokuwa na mtoto maishani mwake licha ya kuwa kwenye uhusiano na wanaume…

JB: Kuna Wema Mmoja Tu

KUNA Mwigizaji na director mkubwa wa Bongo Movies, Jacob Steven almaarufu JB amemsifia mwigizaji na mlimbwende wa Tanzania, Wema Sepetu kwamba yupo mmoja tu na hatatokea mwingine. JB ambaye ameigiza filamu nyingi na Wema…

Wema Sepetu Yamkuta Huko

MALKIA wa Bongo Muvi, Wema Sepetu amejikuta katika wakati mgumu baada ya kushambuliwa kwa maneno makali na baadhi ya mashabiki kufuatia moja ya post aliyoweka kwenye ukurasa wake wa mtandao wa Instagram. Tukio hilo limetokea leo…

Wema: Maisha Yana Siri Kubwa

SUPASTAA wa Bongo, Wema Isaac Sepetu au Tanzanian Sweetheart anasema kuwa, maisha yana siri kubwa hivyo yanahitaji uvumilivu mkubwa tofaui na hivyo unaweza kugombana na kila mtu kwenye ulimwengu huu. Akizungumza na Gazeti la IJUMAA,…

Wema: Dhambi Hii Imeniepuka

SUPASTAA mwenye jina lake kunako Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu anafunguka kuwa, kama kuna dhambi ya kuchora tatuu ya jina la mwanaume mwilini, basi kwa upande wake imemuepuka. Wema anasema kuwa, hii ni kwa sababu hakuna mwanaume…

Uzee Wamnyemelea Wema

  MWILI wa Wema Sepetu au Madam Sepenga umepita kwenye mabadiliko tofauti tangu alipotwaa Taji la Miss Tanzania 2006 na kuwakilisha Tanzania kwenye Miss Worl kule Poland, lakini sasa inadaiwa kuwa uzee unamnyemelea.…

Wema ampigia debe Mondi

Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu ambaye pia ni Malkia wa urembo nchini mwaka 2006, amempongeza Msanii wa Bongofleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwa kuteuliwa kuwania kuwania tuzo za BET awards. Wema ambaye alikuwa…

Wema na Zari, Vita Imenoga

ILIANZA kama masihara tu hivi lakini sasa hivi mambo yametaradadi kati ya muigizaji Wema Sepetu na mrembo kutoka pande za Sauz, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, wanapigana vijembe ile mbaya. Awali, ishu…