Jeuri ya Fedha… Bella Aibuka na Mjengo wa Kifahari
MWANAMUZIKI mtanashati mwenye sauti ya kinanda Christian Bella ‘Obama’, ambaye ni raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ameonesha jeuri ya fedha, baada ya kuibuka na mjengo mkali wa kifahari, Risasi Mchanganyiko…