Chuchu Hans: Nitazaa na Wanaume Wangapi?
MWANAMAMA mrembo kunako gemu ya filamu nchini Chuchu Hans, amesema kuwa wanaume wengi huwa wanamfuata Dm katika ukurasa wake wa Instagram nakumuomba awazalie.
“Nitazaa na wanaume wangapi jamani? Mimi huwa nashangaa jinsi…
Chuchu Hans asema hajawahi kukerwa na mitandao
LICHA ya kuandamwa mara kwa mara na mitandao ya kijamii kwa skendo mbalimbali, mwanamama mwigizaji wa filamu za Kibongo, Chuchu Hans amesema hajawahi kukerwa na maneno mabaya yatolewayo na mashabiki kwenye mitandao. Akistorisha na…
EXCLUSIVE: RAY Amkana JOHARI Mbele ya CHUCHU HANS – VIDEO
MWIGIZAJI mkubwa Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ amefunguka juu ya ujio wao mpya kupitia SwahiliFlix na pia amefunguka alivyoanza safari ya kuigiza na marehemu Marehemu Steven Kanumba.
Ray Afunguka Mrithi Chuchu Hans!
SIKU chache baada ya video inayomuonesha kaka mkubwa Vincent Kigosi ‘Ray’ akiwa na mrembo aliyefahamika kwa jina moja la Sarafina (Fina) kuvuja na kuzua maswali, hatimaye Ray ameibuka na kutoa maelezo yake.
Kwenye kipande…
Ray Ammwagia Misifa Kibao Chuchu Hans
LEJENDARI wa sinema za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ amemwaga sifa nyingi kwa mzazi mwenziye, Chuchu Hans, kwa kusema kuwa ni mama bora anayejua kumlea vziuri mtoto wao, Jaden.
Akizungumza na gazeti hili, Ray alisema kuwa, Chuchu…
Adamu Kuambiana Ashtuka Ray Kuzaa na Chuchu Hans
MPENZI msomaji, hii ni kolamu mpya ya kiburudani lakini ndani yake kuna ujumbe wenye kugusa jamii. Ni kona ya kufikirika.
Wapo watu ambao walishatangulia mbele ya haki lakini endapo kama wangekuwa hai kuna vitu vikubwa zaidi…
Chuchu Hans: Sitamani Kuolewa Na Ray Ng’o!
CHUCHU Hans ni mmoja wa mastaa wa filamu ambao wanafanya vizuri kupitia tasnia hiyo na kama ukibahatika kuangalia moja ya kazi zake, utakiri niyasemayo.
Pia si msanii tu wa filamu bali yupo vizuri kwenye kuigiza hata…
Chuchu Hans adaiwa kunasa ujauzito
Chuchu Hans.
IMELDA MTEMA
STAA wa filamu Bongo, Chuchu Hans anadaiwa kunasa ujauzito wa mchumba wake ambaye naye ni staa wa filamu, Vincent Kigosi ‘Ray’. Kwa mujibu wa chanzo ambacho kipo karibu na wawili hao, Chuchu kwa sasa ni mtu wa…
Chuchu Hans: La kuolewa halipo akilini mwangu!
KAMA kawaida kwenye kolamu hii tunawaletea mastaa mbalimbali na kuwabananisha kwa maswali kumi. Leo tunaye staa wa filamu Bongo Chuchu Hans ambaye anabanwa na Mwandishi Wetu Mayasa Mariwata, ikawa hivi;
Ijumaa: Ningependa kujua ukiwa…
Chuchu Hans aanika siri ya kumkoleza Ray
NINA imani mu-wazima wa afya wasomaji wetu, kama kawa kwenye kolamu hii tumekuwa tukiwaleta mastaa tofautitofauti na kufunguka mambo mbalimbali yahusuyo maisha yao kwenye sanaa na nje ya fani.
Leo tunaye staa wa filamu Bongo, Chuchu Hans…
Chuchu, Ray Ndo Basi Tena!
MSANII wa filamu za Kibongo, Chuchu Hans amesema kuzaa na msanii mwenzake Vincent Kigosi ‘Ray’ isiwe tabu na kuanza kumjulisha kila kinachoendelea katika maisha yake na kumtaka mengine ajionee sapraizi.
Wasanii hao…
Chuchu Awaponda Mastaa Wanaozindua Miradi Feki
MSANII wa filamu za Kibongo, Chuchu Hans amewaponda mastaa wenzake wanaozindua miradi mbalimbali ikiwemo maduka na saluni wakijifanya miradi yao kumbe si kweli isipokuwa wanataka kuipa ustaa miraji hiyo.
Akizungumza na mwandishi wetu…
Chuchu, Ray Kimenuka!
DAR ES SALAAM: MSANII wa filamu nchini Chuchu Hans, amezinguana na mzazi mwenzake Vincent Kigosi ‘Ray’ huku chanzo kikidaiwa ni usaliti.
Inasemekana kuwa, mkongwe huyo kwenye fani ya uigizaji, amemsaliti Chuchu kwa video…
Chuchu Ataja Sababu Kuachana na Filamu
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Chuchu Hans amesema sababu iliyomfanya kuachana na filamu ni kutokana na maslahi kiduchu yanayopatikana kwenye filamu hizo.
Amesema kwa sasa mastaa wengi wanasubiria kuitwa kwa ajili ya…
Ray: Chuchu Ana Wivu Sana
STAA kunako Bongo Movies, Vincent Kigosi ‘Ray’ amefunguka kuwa mzazi mwenziye Chuchu Hans ni mwanamke mwenye wivu sana.
Akizungumza na Mikito Nusunusu, Ray alisema Chuchu ni mwanamke ambaye ana wivu wa kupitiliza.
…
Mbivu Mbichi Bifu Zito Chuchu vs Tessy
DAR: Lile bifu zito la waigizaji wa Bongo Movies; Chuchu Hans na Tessy Abdul ‘Tessy Chocolate’ bado linafurukuta, IJUMAA lina mbivu na mbichi juu ya sakata hilo.
Chanzo cha habari kimeliambia IJUMAA kuwa, hivi karibuni…
Chuchu: Jaden Anapenda Kulipuka!
MSANII kunako Bongo Movie, Chuchu Hans amefunguka kuwa mwanaye ambaye amezaa na muigizaji mwenziye Vincent Kigosi ‘Ray’ anapenda sana kuvaa na kupendeza (kulipuka).
Akizungumza na Risasi Vibes, Chuchu amesema…
CHUCHU: Mimba 6 za Ray ziliharibika
DAR: Mwanamama mwigizaji wa filamu za Kibongo, Chuchu Hans amefunguka kuwa, kabla hajampata mtoto wake, Jaden Vincent na mwigizaji mwenzake, Vincent Kigosi ‘Ray’, mimba sita zilishaharibika. Katika mahojiano maalum na Gazeti la IJUMAA,…
Chuchu: Hakuna Ndoa Bongo Muvi
MWIGIZAJI wa Bongo Muvi, Chuchu Hans amesema, ndoa za kweli hajaziona kwa mastaa hususan wanaotokea Bongo Muvi na ndiyo maana hana papara ya kuolewa.
Akizungumza na Risasi Jumamosi, Chuchu amesema, watu wengi ambao ni mastaa…
Ray: Nazaa tena na Chuchu
MUIGIZAJI kitambo wa filamu Bongo,Vincent Kigosi ‘ Ray’ amefunguka kuwa anataka kuzaa tena na muigizaji mwenzake, Chuchu Hansy mtoto mwingine. Akipiga stori mbili tatu na Za Motomoto, Ray alisema kuwa ameona hakuna sababu ya kutafuta…
Johari Hajawahi Kumnyima Chuchu Usingizi – VIDEO
ZANZIBAR Mwanamama kunako Bongo Muvi, Chuchu Hans, kwa mara ya kwanza amefunguka kuwa, hajawahi kutikiswa na mwigizaji mwenzake, Blandina Chagula ‘Johari’ kiasi cha kukosa usingizi, kisa penzi la mwigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’.…
Chuchu Amwachia Ray Mtoto Wao!
MWANAMAMA kunako Bongo Movies anayefanya poa kwenye tamthiliya mbalimbali, Chuchu Hans amesema ameamua kumuachia mzazi mwenzake, Vincent Kigosi ‘Ray’, mtoto wao, Jayden ili amlee, halafu yeye aendelee na mishemishe za kuandaa Shindano…
CHUCHU: GABO NI ZAIDI YA FURAHA KWANGU !
CHUCHU Hansi amefunguka kuwa, kila anapopata nafasi ya kukutana na muigizaji mwenzake Salim Ahmed ‘Gabo’ anapata amani ya moyo kwani ni mtu wanayeelewana sana.
Akizungumza na Amani, Chuchu anayekimbiza kunako anga la filamu…
CHUCHU: NAFURAHI JADEN KUFANANA NA BABA YAKE
MAMBO vipi mpenzi msomaji wangu, kama ujuavyo, kawaida ya safu hii ni kukuwekea wazi maisha halisi wanayoishi mastaa mbalimbali wa hapa Bongo na watoto wao. Leo tunaye muigizaji wa muda mrefu, Chuchu Hans ambaye tayari amebarikiwa…
CHUCHU AACHA FUMBO PENZI LAKE NA RAY
MZAZI mwenziye na muigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’, Chuchu Hans amesema kuwa mpaka sasa watu wengi wako kwenye sintofahamu juu ya penzi lake na mzazi mwenzie huyo kama wameachana au la; na yeye anapenda iwe hivyo. Akizungumza na Amani,…
CHUCHU NA AUNT WAPEWE TUZO ZA KUTENDWA
ANASEMAJE? Mwanamama anayefanya poa kunako Bongo Muvi, Chuchu Hans amesema yeye na mwigizaji mwenzake, Aunt Ezekiel wanastahili tuzo kutokana na maumivu ya kuumizwa na wenza wao.
Chuchu aliliambia Gazeti la Ijumaa kuwa, mara…
TESSY AFUNGUKIA KUPIGWA NA CHUCHU
MZAZI mwenzake na msanii wa Bongo Fleva, Aslay Isihaka, Tessy Chocolate amefunguka kwamba katika maisha yake hakuna mtu amewahi kumpiga zaidi ya mama yake mzazi, hivyo tetesi zinazosambaa mitandaoni kuwa amepigwa na msanii wa Bongo…
Chuchu: Mimi na Frank imebaki stori
STAA wa filamu za Kibongo, Chuchu Hans ambaye ni mzazi mwenziye na muigizaji wa kiume Vincent Kigosi ‘Ray’ amedai kuwa yeye na mzazi mwenzake Frank Mtao imebaki stori tu hivyo watu wasimhusishe naye.
Akizungumza na Ijumaa…
JOHARI AWA MBOGO RAY KUACHANA NA CHUCHU
STAA wa sinema za K ibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amegeuka mbogo baada ya kuulizwa ishu ya mpenzi wake wa zamani, Vincent Kigosi ‘Ray’ kudaiwa kumwagana na mzazi mwenzake, Chuchu Hans.
Akichonga na Risasi Jumamosi…
CHUCHU: JIANDAENI KWA SHEREHE YANGU NA RAY !
MUIGIZAJI wa kitambo kwenye sanaa ya uigizaji Chuchu Hansi, amefunguka kuwa yeye na mzazi mwenzake Vincent Kigosi ‘Ray’ bado tu kufanya sherehe watu wale wanywe lakini wao tayari ni kama mke na mume hivyo watu wajiandae kwa…
CHUCHU ATOA POVU MIMBA KUCHOROPOKA
MWIGIZAJI wa kitambo kwenye tasnia ya filamu za Kibongo, Chuchu Hans ametoa povu baada ya kudaiwa kuwa alinasa ujauzito ukachoropoka akiwa nchini Afrika Kusini na mzazi mwenzie ambaye ni staa wa filamu, Vincent Kigosi ‘Ray’.…
Chuchu Atema Nyongo Kuwa na Ray Ramadhani
MUIGIZAJI wa kitambo Bongo Muvi, Chuchu Hans amefunguka kuwa watu wanaomhukumu kuwa anakosea kuwa karibu na mzazi mwenziye ambaye ni muigizaji pia, Vincent Kigosi ‘Ray’ wakati huu wa mfungo wa Ramadhani na yeye ni Muislamu waache kwani…
Johari Abariki Ndoa ya Ray na Chuchu
MKONGWE wa sinema za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amefunguka kuwa hakuna kitu kitakachomfurahisha kama mwigizaji mwenzake, Vincent Kigosi ‘Ray’ akimuoa mzazi mwenziye, Chuchu Hans.
Akizungumza na Over Ze Weekend, Johari…
Chuchu: Siwezi Kuzaa Tena na Ray
UKITAJA ‘kapo’ za mastaa ambao wamefanikiwa kuwa kwenye uhusiano na kubarikiwa kupata watoto wakiwa pamoja, huwezi kuacha kuwataja mastaa wakubwa wa sinema za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ na Chuchu Hans.
Wawili hawa ni kapo ambayo…
Chuchu Ataja Anachotaka Ray
BAADA ya kumzalia mtoto wa kiume na kuwa gumzo mitandaoni, muigizaji mkongwe wa filamu Bongo, Chuchu Hans amefungukia zawadi aitakayo kutoka kwa mzazi mwenziye ambaye naye ni msanii, Vincent Kigosi ‘Ray’ kuwa ni busu tu.
…
Chuchu Afungukia Kumtoboa Sikio Mtoto
MUIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Chuchu Hans amefungukia madai ya kumtoboa sikio mtoto wao wa kiume Jaden mwenye umri wa mwaka mmoja akidai kuwa suala hilo limepokelewa ndivyo sivyo.
Akizungumza na gazeti hili, Chuchu alisema…
Chuchu: Kubadilisha Jina Sio Kumuacha Ray
MSANII wa filamu za Kibongo, Chuchu Hans ameibuka na kusema kuwa tetesi zilizozagaa akidaiwa kuachana na mzazi mwenziye Vincent Kigosi ‘Ray’ na kwamba ndiyo sababu ya kubadili jina lake kwenye ukurasa wake wa Instagram siyo za kweli.…
Chuchu: Wanaoendekeza Za Utupu Watajuta!
STAA wa filamu Bongo, Chuchu Hans amewananga wauza nyago ambao wameibuka na picha za utupu kwa lengo la kusaka umaarufu na kusema kuwa, kitendo hicho madhara yake ni makubwa siku zijazo kwani wanaweza kukosa waume wa kuwaoa.
…