Breaking: Watu 30 Wanusurika Kifo Jangwani Wakielekea Kariakoo – Video
Zaidi ya watu 30 waliokuwa wamepanda daladala kuelekea Kariakoo wamenusurika kifo baada ya kuvamiwa na maji wakiwa katikati ya daraja la Jangwani Dar es Salaam, na kuzua taharuki kubwa ya watu waliomo ndani yake kusombwa na maji.…