Kamanda Muliro Awataja Wezi Mfuko Wa NSSF, Watu 30 Wakamatwa – Video
Jeshi la Polisi pamoja na Maafisa wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa NSSF kuanzia Desemba 2023 hadi Aprili 2024 limewakamata Watuhumiwa 30 kwa tuhuma za kughushi nyaraka mbalimbali kwa lengo la kujipatia malipo kwa njia ya udanganyifu kutoka…