Halotel Yasherehekea Siku ya Wanawake Duniani Kwa Kutembelea Kituo Cha Watoto Yatima Malaika
Halotel kuonesha dhamira yao katika kujali jamii iliweza kutembelea kituo cha watoto yatima cha Malaika kilichopo Mwananyama - Mango Garden katika kukaribisha sherehe za sikuukuu ya Wanawake mwaka 2024.
Halotel Tanzania imetoa msaada…