Diwani Mkuranga Awaliza Wananchi Wake Kwa Furaha
PWANI: 2 Machi 2023, Diwani wa Kata ya Mkuranga mkoani Pwani, kupitia Chama cha Mapinduzi, Shabani Manga, jana (Jumatano) alizindua zahanati katika Kijiji cha Tegelea ambapo uzinduzi huo ulihudhuriwa na umati mkubwa wa wananchi wa…