Prof. Jay Huzuni Kila Kona, Mashabiki Zake Waongea na Gazeti la Ijumaa
MGOGORO wa kiafya wa msanii nguli Bongo, Joseph Haule ‘Prof Jay’ umemtenga na jamii kwa takriban mwaka mzima na kuacha huzuni kila kona kutoka kwa mashabiki zake.
Chachu ya masikitiko katika mioyo ya watu juu ya afya ya msanii huyo…