The House of Favourite Newspapers

Mama Dangote ampiga pini Zuchu

Inasemekana lakini, Mama Dangote (Diamond) ame-unfollow Zuchu kwenye ukurasa wa Instagram ambaye inadaiwa kuwa ndiye Mpenzi wa Diamond Platnumz kwa sasa. Inaelezwa kuwa Mama Dangote anampenda zaidi Aalya zaidi kuliko Zuchu. Ikumbukwe…

Rais Samia Akutana na Dangote

RAIS Samia Suluhu Hassan leo Mei 24, amekutana na kufanya mazungumzo na mfanyabiashara Alhaji Aliko Dangote, ambaye amewekeza katika kiwanda kikubwa cha uzalishaji wa saruji mkoani Mtwara. Baada ya mazungumzo hayo, Alhaji Dangote…

Mama Dangote Ampigia Saluti Zari

MAMA mzaa chema wa staa mkubwa wa muziki barani Afrika kutoka nchini Tanzania, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim ‘Mama Dangote’, amempigia saluti mmoja wa wakwe zake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’. Mama…

Mama Dangote Agoma Kumzalia Shamte

MAMA mzazi wa staa mkubwa wa muziki barani Afrika na bosi wa Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ au ‘Mondi’, Sanura Kassim ‘Mama Dangote’, amewajibu wanaomtaka amzalie mtoto mumewe, Maisara Shamte ‘Uncle…