Trump Amtuhumu Obama Kuhusika na Maandamano Yanayoendelea Marekani
MAREKANI: Rais wa Marekani, Donald Trump amesema anaamini kuwa Rais Mstaafu wa Nchi hiyo, Barack Obama ndiye anahusika na maandamano dhidi ya uongozi wa Republican.
"Nafikiri Rais Obama anahusika kwa sababu ni watu wake wanaohusika…