Dullah Mbabe Kuzichapa Leo, Dully Sykes, Mr Blue Kunogesha Pambano
BONDIA mwenye tambo nyingi mchezoni Abdallah Pazi maarufu kama Dullah Mbabe, leo anatarajiwa kupanda ulingoni kuzichapa na bondia, Kahoro Kahumwa kwenye pambano lisilo la ubingwa ambalo litachezwa kwenye Ukumbi wa The Kukuz…