The House of Favourite Newspapers

Dully Atoboa Siri Kutozeeka!

HUYU jamaa hapendi kuitwa msanii, bali hupendelea kuitwa mburudishaji kwani asilimia kubwa ya ngoma zake ni za kucheza na siyo kusikiliza. Stejini hujulikana kwa jina la Prince Dully Sykes au Dully, lakini jina alilopewa na…

WOLPER AMKABIDHI HARMONIZE KWA MUNGU

KWELI hii inaitwa chuki nichukie, lakini moyo wangu niachie! Hivi ndivyo ilivyo sasa kati ya staa wa Bongo Muvi, Jacqueline Wolper Massawe kuamua kutoa la moyoni baada ya mpenzi wake wa zamani, Rajab Abdulhan ‘Harmonize’ kumuanikia msururu…

Tanayzer: Sitamsahau Abdul Bonge

Na MUSA MATEJA| IJUMAA WIKIENDA| OVER ZE WEEKEND MSANII wa Bongo Fleva ambaye ni zao kutoka Kundi la Tip Top Connection, Said Othman ‘Tanayzer’ ameweka wazi kuwa haitatokea hata siku moja kumsahau muasisi wa kundi hilo, Abdul Bonge…

Sabby: Ndoa Ilinipotezea Muda

IJUMAA WIKIENDA | Over Ze Weekend DUH! Kwa mara ya kwanza tangu ndoa yake ivunjike mwaka jana, msanii wa filamu na Bongo Fleva, Sabrina Omary ‘Sabby’ ameweka wazi kuwepo ndani ya ndoa kulimpotezea muda mwingi kwani angekuwa amefika…

Mwasiti Afunguka Kuacha Muziki

MWANAMUZIKIaliyekula chumvi nyingi kunako Bongo Flevani, Mwasiti Almasi ‘Mwasiti’, naye amefunguka juu ya wimbi la wasanii kuacha muziki akisema kwa upande wake bado hajawaza wala kufikiria kuachana na masuala ya muziki. …

Nyoshi Aja Kivingine!

MKALI wa Dansi Bongo ambaye ni Prezidaa wa Bendi ya Bogoss Musica, Nyoshi El Saadat amekuja kivingine ambapo anatarajia kuzindua staili mpya ya uchezaji baada ya kujizolea umaarufu na staili ya Naliamsha Dude. Nyoshi…

Malaika: Sina Wivu na Zuchu

MWANA-MUZIKIkutoka Bongo Flevani aliyetamba na ngoma kama Zogo, Sare na nyingine, Diana Exavery ‘Malaika’ amesema hana wivu wala kinyongo kwa wanamuziki wenziye wa kike wanaotamba kwa sasa kama Zuchu.Amesema kila mtu ana kipaji chake na…

Wema amtoa chozi Diana

MWIGIZAJI wa Bongo Movies ambaye kwa sasa amejichimbia nchini Marekani, Diana Kimari amejikuta akimwaga chozi baada ya kumkumbuka shoga’ke kipenzi, Wema Isaac Sepetu. Diana ameiambia OVER ZE WEEKEND kwa njia ya simu kutoka kwa Trump…

Video ya Namite Yakwama

VIDEO ya wimbo wa mwana-muziki mdogo wa Bongo Fleva, Namite Salvagge anayeishi nchini Italia imekwama kutokana na sababu za kiufundi. Namite ameiambia OVER ZE WEEKEND kuwa, tatizo hilo la kiufundi linashughulikiwa…