Man United: Sancho Apigwa Marufuku Kutumia Mgahawa Wa Kikosi Cha Kwanza
Marufuku hiyo inahusu pindi anapokuwa kwenye Viwanja vya Mazoezi vya Carrington, ikiwa ni mwendelezo wa adhabu kutokana na mgogoro wake na Kocha wa Manchester United, Erik ten Hag (ETH)
Tangu aondolewe kikosini, Jadon Sancho amekuwa…