Tanzania Yapandishwa Uwezo Wake wa Kukopa Kimataifa
* Taasisi ya Moody's yasema kuwa Tanzania ndiyo nchi inayokopesheka kuliko nchi zote za Afrika Mashariki
* Mageuzi ya uchumi ya Serikali ya Rais Samia yafanya uchumi uwe himilivu, yasababisha uwekezaji wa sekta binafsi…