Davido na Wizkid Warushiana Maneno Kwenye Mtandao wa X
WASANII wawili wakubwa wa muziki nchini Nigeria Wizkid na Davido warudishiana maneno katika mtandao wa kijamii wa X .
Mzozo huo ulizuka baada ya mashabiki kumtaka Wizkid kuwaachia wimbo mpya kwenye mtandao wa X. Alijibu kwa kuweka…