The House of Favourite Newspapers

Polisi Wa Kike Akamatwa Na Madawa Ya Kulevya

Polisi wa kike kutoka nchini Jamaica, amekamatwa na dawa za kulevya aina ya Cocaine gramu 1,350 akiwa amezificha sehemu mbalimbali za mwili wake, wakati akijaribu kuingia nazo nchini Marekani. Polisi huyo, Shelian Cherine Allen mwenye…

Harmonize Aonywa Madawa ya Kulevya

ONYO! Kama mkali wa Bongo Fleva, Rajabu Abdul ‘Harmonize’ au ‘Harmo’ atakuwa ameanza mchezo mbaya wa matumizi ya madawa ya kulevya ‘unga’, basi mashabiki na wadau wakubwa wa burudani wamempa onyo na kumtahadharisha asije akapotea kwenye…

Ulinzi Madawa ya Kulevya Usipime

“OOOH! Haya madawa ya kulevya wanayokamatwa nayo watu, kesi zao zikimalizika ndipo wajanja serikalini wanayauza na kujipatia fedha.” Nani anakuambia uongo wa aina hii? Kuanzia leo ufahamu kuwa, madawa hayo ulinzi wake si wa kitoto.…