Happy Birthday Nyemo Chilongani
Mwandishi wa habari na hadithi kutoka Global Publishers, Nyemo Chilongani.
Na Mwandishi Wetu
Hatimaye mwandishi wa habari na hadithi kutoka Global Publishers, Nyemo Chilongani anajiandaa kusherehekea siku yake ya kuzaliwa leo nyumbani…
Askofu Kilaini Amsamehe Padri Aliyegombea Ubunge
ASKOFU Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo la Bukoba, Methodius Kilaini amesema kuwa, milango iko wazi ya kurudi kundini kwa Padri Ildephonce Katundu aliyesimamishwa kutoa huduma za kipadri baada ya kujitosa kugombea Ubunge wa Jimbo la…
Mtoto Mwingine Atupwa Chooni Kagera
MTOTO mwingine wa kike mwenye umri wa siku tatu, ameopolewa na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwenye choo cha Zahanati ya Mshikamano wilayani Ngara mkoani Kagera akiwa hai.
Hilo ni tukio la pili kutokea wilayani humo, kwani…
Majanga Yaendelea Kumwandama Mtoto Aliyeokolewa Chooni
MISUKOSUKO imeendelea kumwandama mtoto (jina linafichwa) ambaye aliopolewa kwenye shimo la choo cha Shule ya msingi Murganza iliyoko wilayani Ngara mkoani Kagera baada ya kutupwa na mama yake mzazi ambapo sasa wasamaria wema waliokuwa…
Kichanga Chakutwa Kikielea Juu ya Maji
KAGERA: Kichanga cha kiume ambacho kilikuwa hakijafikisha umri wa kuzaliwa, kimekutwa kikielea kwenye maji katika Mto Kanoni uliopo Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera.
Kichanga hicho ambacho mama yake hakufahamika, kilikutwa kikielea…
Muuguzi Mbaroni kwa Kumtoa Mimba Mwanafunzi, Kumsababishia Kifo
MUUGUZI aliyetumbuliwa wakati wa kuondoa watumishi hewa mkoani Kagera, Dezber Solomon (49) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za mauaji ya mwanafunzi wa darasa la sita, Alinda Reverian (14) baada ya kumfanyia jaribio la kumtoa…
GLOBAL KAZINI 19: KIMENUKA! Bibi Harusi Atekwa, Atupwa Baharini – Video
TAMTHILIA pendwa ya Global Kazini inazidi kupamba moto ambapo katika sehemu hii, Mayasa, mke mtarajiwa wa Nyemo, anatekwa na watu wasiojulikana katika mazingira ya kutatanisha, siku chache kabla ya harusi, kisha baada ya hapo, anaenda…
GLOBAL KAZINI: Bibi Harusi Atekwa Muda Mfupi Kabla ya Ndoa! – VIDEO
MSIMU mwingine wa Global Kazini umewadia na safari hii tukio kubwa linatetemesha jiji la Dar es Salaam. Ni tukio la bibi harusi mtarajiwa, Mayasa Mariwata, kutekwa na watu wasiojulikana, ikiwa ni siku chache kabla ya kufungwa kwa ndoa…
Penzi Lenye Maumivu-6
ILIPOISHIA IJUMAA… Alitamani kumkatalia, lakini wakati mwingine hakuona kama hilo lilikuwa jambo jema kwani hata yeye mwenyewe mwili wake ulikuwa kwenye msisimko mkubwa, hakukuwa na kitu kingine alichokuwa akikihitaji kama kuwa kwenye…
Ni Ajabu! Miaka 20 Bado Bongo Muvi Inatambaa
DUNIANI kuna maajabu mengi, kuna vitu vinavyofanywa au vilifanywa ambavyo vinashangaza mno. Mfalme Nebukadneza wa Babylon (Iraq) alimjengea bustani malkia wa Sheba bustani inayoelea angani. Ukiachana na hayo, Wamisri walijenga…
Washindi Watatu wa ‘Shinda Nyumba’ Wachukua Zawadi Zao
WASHINDI watatu wa droo ya tano ya shindano la ‘Shinda Nyumba’ leo wameondoka na zawadi zao katika ofisi za Global Publishers zlizoko Mwenge-Bamaga jijii Dar es Salaam.
Washindi hao ni Ummy Ally kutoka Dodoma…
Hii Ndiyo Nyumba ya Gharama Kuliko Zote Marekani
MWENYEWE umepata pesa zako, umeamua kununua kiwanja na kushusha bonge moja la mjengo, labda liwe la milioni mia tatu, unaona kwamba umekamilisha kila kitu, moyo wako umeridhika na unahisi kwamba hakuna kitu kitakachoweza kukurudisha…
Akifanya Hivi, Blac Chyna Atamfikisha Ferrari Mahakamani
Labda ulikuwa ukilisikia lile vuguvugu la ugomvi mkubwa baina ya watu waliowahi kuwa wapenzi, Blac Chyna na mwanamuziki Ferrari. Ishu ni kwamba katika kipindi ambacho Chyna akiwa na Rob Kardashian, kumbe kisirisiri alikuwa akibanjuka na…
Hawa Ndiyo Mastaa Wanaoingiza Mkwanja Mzito Instagram
WEWE si unapenda kupost instagram kutafuta likes nyingi au hata wateja wako? Sasa achana na mambo yote, ikufikie hapo ulipo kwamba kwa sasa mastaa wengi duniani wanaingiza pesa ndefu tu kila wanapoweka posti yoyote katika Mtandao wa…
Kwa Wikiendi Tu, Spiderman Yaingiza Mabilioni Haya
WATU wapo bize kupiga pesa, wanawekeza kwa pesa nyingi sana lakini mwisho wa siku wanaingiza mabilioni ya dola. Huku watu wakiwa wamesubiri kwa kipindi kirefu, hatimaye muvi ya Spiderman Homecoming iliachiwa wikiendi iliyopita ambapo…
Haya ni Mengi Ambayo Hukuyafahamu Kuhusu Filamu ya Titanic
JANA niliamua kuangalia tena na tena filamu ya Titanic, hakika sikuichoka na ninaweza kukiri kwamba ni filamu bora ya kimapenzi niliyowahi kuangalia maisha mwangu mbali na A Walk To Remember, The Notebook na Romeo And Juliet.…
Kumbe Dola Milioni 20 Kwa Kanye Hazikuwa Zawadi!
SI KWELI! Huku bifu la wanamuziki wawili, Jay Z na Kanye West likiendelea, kulikuwa na taarifa za chinichini zikisema kwamba zile dola milioni 20 zaidi ya bilioni 40 alizopewa Kanye West zilikuwa kama zawadi kwa ajili ya kugharamia…
Baba Rihanna Amkataa Mpenzi wa Mwanaye!
SIMTAKI! Huku mwanamuziki mwenye jina kubwa, Rihanna 'RiRi' akiwa amemtangaza bilionea mkubwa, Hassan Jameel kama mpenzi wake mpya, mzazi wa mrembo huyo, Ronald Fenty ameibuka na kusema kwamba hakubaliani kabisa na uamuzi wa mtoto wake…
Baada ya Kuchanwa, Kanye Ajitoa Tidal
AMEJIKATAA KIBISHI! Huku zikiwa zimepita siku kadhaa tangu Jay Z alipotoa albamu yake ya 4:44 na kumchana mshikaji wake, Kanye West, hatimaye mwanamuziki huyo amejiondoa rasmi katika mtandao wa kuuza ngoma, Tidal ambapo pia Jay Z ana…
Michoro ya Trump na Mkewe Yaelekea White House
WATU na vipaji vyao bwana! Huku akiwa amefikisha miezi saba tangu alipoingia katika ikulu ya Marekani 'White House' hatimaye mchoro wa kwanza kabisa kuchorwa unayomuonyesha Rais Donald Trump akiwa oval 'ofisi ya rais' na mchoro wa mke…
Povu la Jay Z Lamchanganya Benet, Aposti Tena
JAY Z si mtu wa mchezomchezo. Si unajua kipindi cha nyuma msela ambaye anaimba muziki wa RnB, Eric Benet alimdisi Jay Z kwamba alioa mwanamke msagaji, sasa ili kuonyesha kwamba alikuwa bega kwa bega na mama watoto wake, Jay Z akaamua…
Huyu Bieber si wa Dunia Hii Aisee
AMETISHA SANA! Ndiyo maneno pekee ambayo unaweza kuyatamka baada ya kumuona Bieber akitanua zake nchini Ufaransa huku akiwa amekamatia mwanamke wa nguvu koshoto huku kulia wakiwa na mtoto mkaliiiiiii.
Si unajua tena staa…
Messi, Antonella Kufunga Ndoa Leo Hii
LABDA ulikuwa unasikilizia kwa makini sana kujua ni lini staa wa Argentina na FC Barcelona atafunga ndoa na mama watoto wake, nikutonye tu kwamba staa huyo na mzazi mwenzake, Antonella wanafunga ndoa leo hii huku ikiwa ni mchana kwa…
Jay Z Amuangukia Beyonce, Amchana Kanye West
Huku mwanamuziki mwenye jina kubwa na mkwanja wa maana, Jay Z akisherehekea kupata watoto mapacha na mkewe, Beyonce, hatimaye ameamua kutoa albamu aliyoipa jina la 4:4 ambapo humo ndani sasa amempa makavu mshikaji wake, Kanye West na…
Common: Mabifu ya Wiki ya BET Huwa ya Kishamba Sana
MWANAMUZIKI mwenye jina kubwa, nguri, Common ameibuka na kutoa povu kwamba mabifu yanayotokea katika wiki za Tuzo za BET ni ya kitoto mno, tena ya miaka ya tisini.
Huku akionekana kumaindi ile kinomanoma, Common alionekana…
Ramar Odom: Nammisi Sana Rob Kardashian
HUKU penzi lake na mtoto mkali kutoka katika familia ya kishua, Khloe Kardashian likiwa limekufa moja kwa moja, hatimaye aliyekuwa mcheza kikapu wa La Lakers, Odom Lamar amefunguka kwamba anamkumbuka sana shemeji yake, Rob Kardashian.…
Chris Brown, Karrueche Ndiyo Basi Tena
KAMA VIPI NIPOTEZEE! Labda ndiyo maneno pekee unayoweza kuyatamka baada ya mwanamuziki mwenye jina kubwa, Chris Brown kuchuniana na aliyewahi kuwa mpenzi wake, Karrueche wakati wa Tuzo za BET zilizofanyika Jumanne nchini…
Jay Z Mshikaji Wangu! Sasa Hii Kufuru Bwana!
PESA INAONGEA BWANA! Huku Beyonce akiwa amejifungua salama na kukaa hospitalini kwa muda wa wiki moja na nusu, hatimaye mwanamama huyo na watoto wake mapacha, wa kiume na kike wameruhusiwa kutoka hospitalini.
Habari zaidi kutoka…
Unataka Kuwa Bakhresa Mpya Bongo? Hujachelewa
NIMEKUWA nikitumia muda mwingi kutafiti maelezo kamilifu juu ya namna mabilionea mbalimbali walivyofanikiwa kufika kwenye kilele cha utajiri. Swali langu kwako ni je, ungependa kuwa bilionea kama Bhakhresa au Reginald Mengi? Ni…
Kendrich Lamar Kumkumbuka Prodigy BET
HUKU wanamuziki wawili, Havoc na Lil Kim wakiwa wamejitolea kumkumbuka rapa wa Kundi la Mobb Deep, Prodigy aliyefariki mapema wiki iliyopita, rapa mwingine, Kendrich Lamar amejitolea kumkumbuka mwanamuziki huyo wakati wa utoaji wa Tuzo…
Curry; Hili Ndiyo Bata la Ushindi Sasa!
BATA BATANI! Mcheza kikapu wa Timu ya Golden State Worriors ambao walichukua ubingwa wa NBA wiki iliyopita, Steph Curry ameamua kwenda kusherehekea ushindi huo ufukweni katika Visiwa vya Hawaii nchini Marekani huku akiwa na familia…
Utani Dhidi ya Trump Kumuingiza Johnny Depp Matatani
NI UTANI WA NGUMI! Muigizaji mwenye jina kubwa Hollywood, Johnny Depp anaweza kuingia matatani baada ya kutoa utani jukwaani wa kumuua Rais wa Marekani, Donald Trump ili awe msanii wa pili kufanya hivyo nchini humo.
Staa huyo…
Mayweather: Nitamchakaza Vibaya Mpinzani Wangu
TAMBO! Huku siku zikiendelea kukatika kama kawaida mwanamasumbwi mwenye mbwembwe za pesa, Floyd Mayweather ameanza kutamba kwamba iwe isiwe ni lazima amshinde vibaya mpinzani wake, Conor McGregor katika pambano lao litakalofanyika…
Muvi Mpya! Jackie Chan Kuibuka na James Bond
WEWE ni mpenzi wa muvi kali na za kijanja? Unajua kama Jackie Chan anaibuka na muvi mpya aliyoigiza na Pierce Brosnan ambaye ameigiza kama James Bond kwenye Die Another Day, The World Is Not Enough na nyinginezo? Sasa wawili hao wanakuletea…
Haya Utayasikia Kwenye Documentary ya Chris Brown
Inawezekana ulisubiri sana! Dogo anayefanya poa kwenye muziki kwa miaka kadhaa sasa, Chris Brown anajiandaa kutoa documentary yake ambayo itaelezea mambo mengi yakiwemo mahusiano yake na mtoto mkali ambaye pia ni mwanamuziki, Rihanna.…
Kwa Wiki ya Kwanza tu Muvi ya Maisha ya Tupac Yapiga Bilioni 53
Habari ndiyo hiyo! Huku ikiwa imetimiza wiki tangu filamu inayohusu maisha ya nguli wa Hip Hop nchini Marekani, Tupac Shakur iitwayo All Eyez On Me kuingia sokoni, tayari filamu hiyo imejizolea kiasi cha dola milioni 25.4 katika…
Ronaldo Amezaliwa Maskini, kwa Nini wewe Ushindwe?
MAKALA: Nyemo Chilongani na Mtandao
MPENZI msomaji lengo la ukurasa huu ni kupeana mbinu za namna ya kutengeneza fedha na kupata utajiri hivyo usipange kukosa kufuatilia kila Jumatatu.
Bado kuna baadhi ya watu hawaamini kwamba…
MPENZI WANGU SARAFINA-15
MTUNZI: NYEMO CHILONGANI
Ibrahim alirudi mpaka kule alipokuwa akilala na Malaika, alipofika, hakumwambia kitu kwa kuwa alikuwa na watoto wengine, akamvutia pembeni na kwenda naye kukaa sehemu, Malaika alishangaa, haikuwa…
Acha Kuzubaa, Watu Wanapiga tu Fedha Kila Mwaka
Na Nyemo Chilongani na Mtandao | IJUMAA WIKIENDA
WATU wanapambana kila siku kuhakikisha wanatoka kimaisha. Wale wasiokuwa na kitu wanajitahidi kufanya liwezekanalo ilimradi tu mwisho wa siku wafanikiwe. Waitwe wafanyabiashara…