The House of Favourite Newspapers

Mambo Makubwa ya Kukumbukwa 2021

HATIMAYE mwaka 2021 unakaribia ukingoni; bado takriban siku 20 tu, lakini kuna mengi yamejiri katika safari hiyo yenye milima na mabonde. Yapo ya kufurahisha na yapo ya kuhuzunisha. Kupitia IJUMAA SHOWBIZ, kuelekea kuufunga mwaka…

Wameacha Majina Yao ya Asili

LIMEKUWA ni jambo la kawaida kwa wasanii wa muziki wa Bongo Fleva, lakini pia wa filamu na tasnia mbalimbali kubadili majina yao ya asili kwa lengo la kuimarisha chapa zao ili kuvutia mashabiki ambao ndiyo wanunuzi wa kazi zao.…

King Kiba Hakamatiki Aisee

ALBAM mpya ya Mfalme wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba au King Kiba iitwayo The Only One King aliyoiachia Oktoba 7, mwaka huu, haikamatiki aisee. Hadi sasa imetazamwa na zaidi ya watu milioni 19 katika mitandao mitatu. Albam…

Mambo mazito albam ya King Kiba

NI dhahiri kwamba Ali Saleh Kiba au King Kiba ni mfalme wa Bonge Fleva kwani ametoa albam ya Only One King iliyotoka Ijumaa ya wiki iliyopita. Albam hiyo ni ya tatu kwa Kiba ina nyimbo 16 na yafuatayo mambo mazito ambayo unapaswa…

Warembo Hawa Walikimbiza Mbaya

GUMZO linaloendelea ni juu ya maisha ya mwanamama Pauline Zongo ambaye ni miongoni mwa warembo walioweka msingi wa mabinti kujiingiza kwenye muziki, lakini sasa anakabiliwa na changamoto za kiafya akidaiwa kujiingiza kwenye ulevi wa…

Hatari ya Simu za Mkononi Kimaisha

Simu ya mkononi ni kifaa kidogo chenye athari kubwa kwa maisha yetu lakini kwa wanaokitumia vizuri manufaa yake ni makubwa. Ulimwengu wa teknolojia unamaanisha kwamba matumizi ya simu ya mkononi ni jambo la kawaida na kila mwaka…

A-z Nandy Kudaiwa Mil. 260

MWANAMUZIKI Bora wa Kike wa Tanzania, Faustina Charles Mfinanga au Nandy, ameingia matatani baada ya kufunguliwa kesi ya madai katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kwa madai ya kuingilia hakimiliki ya mwanamuziki Desire Manirapta…

Hii Ya Harmo Vs Van Boy Ni Utoto

SIKU za nyuma kulikuwa na upinzani mkubwa wa kimuziki kati ya Diamond Platinumz na Harmonize ‘Konde Boy’ au Harmo lakini sasa mambo yamebadilika. Tumeshuhudia Harmo akichuana na Rayvanny ‘Van Boy’ kuhusiana mambo ambayo…