Jukwa la Wahariri Wampa Tuzo ya Kihistoria Waziri Nape Nnauye
Jukwa la Wahariri Tanzania limempa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye Tuzo kwa Mchango wake mkubwa na ushirikiano na Wahariri na Vyombo Vya habari nchini.
“Sisi kama Wahariri tumefanya kazi na mawaziri…